Cocacola wamnunulia gari jipya diamond

duuu...!sasa mdomo umenahusikaje?kila mtu anakasoro zake bhana!

nilikuwa namueleza jamaa ambaye anashangaa diamond kununuliwa ndinga wakati ana akaunti iko bien!!kwakuwa alishangaa kinoko ndo nikamchana kidonta, ila kuna mama anaitwa kigoli sijui hapo juu bila kuchanika anatapika kishoga!.....mimi ni mimi na diamond ni diamond bab!..
 
bwana ako akimkubali mwanaume nawe mkubali!!!bwana ako diamond anaukubali huu mziki sasa wewe unapata wapi ujasiri wa kutupiana maneno na mkali mimi!

ndio tatizo lenu wabongo, kitu huna unamkandia yule alichonacho, acha wivu huo jitume ili na wewe uwe la kwako ambalo sio la kutunukiwa otherwise na miwivu yako hiyo utabanana kwenye daladala maisha yako yote.
 
Back
Top Bottom