Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,152
- 2,500
Ha ha ha umenikumbusha mbali Mkuu. Akikosa bao anatafuna Jojo, sijui ni dharau!
Mugalu apewe bublish za kutosha
Mugalu apewe bublish za kutosha
Muunganiko ndio nini?Subirini tuje tuwahenyeshe wazee wenu kina saido, bangala na aucho tulicheza na nyinyi game ya kwanza tukiwa na majeruhi wengi na bila muunganiko wa kikosi subirini muone simba anavyocheza kijihadi match muhimu.
😀😀😀 Hao ndo wazee.Subirini tuje tuwahenyeshe wazee wenu kina Saido, bangala na Aucho, tulicheza na nyinyi game ya kwanza tukiwa na majeruhi wengi na bila muunganiko wa kikosi subirini muone Simba anavyocheza kijihadi match muhimu.
Haya tutakutana hapa saa moja usiku tarehe 30,nitakukumbusha nilichokuambiaHao ndo wazee.
Basi sawa kina kagele, bocco na onyango ni vijana eeeh.??
Ww subiri hiyo siku utalia na kusaga meno
NikumbusheHaya tutakutana hapa saa moja usiku tarehe 30,nitakukumbusha nilichokuambia