omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 145
Naamka na kukuta Warema na Wasemaji wa Serikali ndio wamekuwa kisima cha ukweli mbele ya manazi wa CHADEMA na Lema ndio amekuwa Malaika Msemakweli wao.
Wanachosahau ni kuwa wakati wa Buzwagi yalisemwa hayahaya kuhusu mkataba na wakati wa EPA waliyasema hayahaya kuhusu Dr Slaa na list ya mafisadi.
Ndio maana huwa nasema huu uhodhi wa akili fupi katika fikra pinzani ni tatizo kubwa. Hii spidi ya coalition of the willing against Zitto naona inakuwa kwa kasi. I have always say, the only thing wanachoweza hawa jamaa ni kufanikisha "their turn to eat" na sio demokrasia wala ukombozi wa mtanzania from mfumo fisadi kama wanavyojishebedua..
Time will tell!
Wanachosahau ni kuwa wakati wa Buzwagi yalisemwa hayahaya kuhusu mkataba na wakati wa EPA waliyasema hayahaya kuhusu Dr Slaa na list ya mafisadi.
Ndio maana huwa nasema huu uhodhi wa akili fupi katika fikra pinzani ni tatizo kubwa. Hii spidi ya coalition of the willing against Zitto naona inakuwa kwa kasi. I have always say, the only thing wanachoweza hawa jamaa ni kufanikisha "their turn to eat" na sio demokrasia wala ukombozi wa mtanzania from mfumo fisadi kama wanavyojishebedua..
Time will tell!