BabaKasheshe
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 211
- 45
nana ninyi wenye fikra fupi!
Mnafiki anashindana na nani?
Mnafiki anashindana na nani?
Naamka na kukuta Warema na Wasemaji wa Serikali ndio wamekuwa kisima cha ukweli mbele ya manazi wa CHADEMA na Lema ndio amekuwa Malaika Msemakweli wao. Wanachosahau ni kuwa wakati wa Buzwagi yalisemwa hayahaya kuhusu mkataba na wakati wa EPA waliyasema hayahaya kuhusu Dr Slaa na list ya mafisadi. Ndio maana huwa nasema huu uhodhi wa akili fupi katika fikra pinzani ni tatizo kubwa. Hii spidi ya coalition of the willing against Zitto naona inakuwa kwa kasi. I have always say, the only thing wanachoweza hawa jamaa ni kufanikisha "their turn to eat" na sio demokrasia wala ukombozi wa mtanzania from mfumo fisadi kama wanavyojishebedua.. Time will tell!
mwehu kabisa huyu atashinda wapi na unafiki aliyonao? lazima afahamu kuwa kutaja akaunti ya mtu na pesa yake hadharani ni jinai. Ni mahakama pekee yake inaweza kufanya hivyo endapo tu mmiliki wa akaunti husika ametenda uhalifu. Kwanza aanza na akaunti zote na kiasi cha pesa alichonacho kabla hajataka za wenzie aone kama hilo ni fair. Otherwise zitto is moving with escape velocity in the negative direction.....
Hapa umeongea Pumba!.
Usivunjike moyo kaka upo juu sana mti mzuri ndio unapigwa sana mawe
siasa za kidigital mi social media nazipinga sana!!
Napendekeza mods waweke kitufe cha dislike tafadhali. Huwa nakitafuta sana .
serikali imefunga mjadala wa pesa za uswis na zitto kwa kiapo, hivyo basi yeye anatakiwa ajipange upya
Hata lucifer anajipa moyo kama atashinda.
Mhn!Hii picha aliyoweka kwenye facebook ni ile ziara ya Karatu kule kwa Dr Slaa.Kuna ujumbe hapa,ameamuwa kupambana.Subiri muone next move.Halafu tuangalie na "relevancy" ya Mahatma Gandhi's quote.HIVI NDIVO INAVOSOMEKA KWENYE WALL YA MH ZITO POLE KAKA TUPO PAMOJA
Zitto Kabwe
2 hours ago via mobile
"First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win".
Mahatma Gandhi
HIVI NDIVO INAVOSOMEKA KWENYE WALL YA MH ZITO POLE KAKA TUPO PAMOJA
[h=5]Zitto Kabwe[/h]2 hours ago via mobile
"First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win".
Mahatma Gandhi
Haya mambo ya siasa unahusisha lusifa......usipende kulinganisha mambo yasiyoendana,hata hivyo usipende kujiona mtakatifu sana.......Siasa ziwe siasa na dini ziwe dini.Hata lucifer anajipa moyo kama atashinda.