Hebu weka mashairi yote humu kwanza.
kila ninapoisikiliza hii track,melody aliyotumia msanii kweny bridge mara baada ya verse mbili za kwanza inanikumbusha kama melody ya wimbo fulani hivi wa msanii wa r'n'b wa nje.kuna ambaye ameshaligundua hili?
Sasa hapa mimi sijakuelewa kama imekuvutia au ndio unataka tumponde bwana Ngwair?kila ninapoisikiliza hii track,melody aliyotumia msanii kweny bridge mara baada ya verse mbili za kwanza inanikumbusha kama melody ya wimbo fulani hivi wa msanii wa r'n'b wa nje.kuna ambaye ameshaligundua hili?
kila ninapoisikiliza hii track,melody aliyotumia msanii kweny bridge mara baada ya verse mbili za kwanza inanikumbusha kama melody ya wimbo fulani hivi wa msanii wa r'n'b wa nje.kuna ambaye ameshaligundua hili?
Ungesema tu ni wimbo gani mkuu, japo hata kwa mtoni kuna kitu kinaitwa ku sample muziki. Kwa hiyo hata kama melodi zitafanana na wimbo mwingine na still ameingiza ubunifu wake hadi wimbo ukawa bomba hakuna shida kabisa. Wataalam wa muziki wanajua hakuna sauti mpya ya muziki ila ni maboresho ya sauti za zamani.Lakini mazee kama ulitaka ku hate tu endelea..kila ninapoisikiliza hii track,melody aliyotumia msanii kweny bridge mara baada ya verse mbili za kwanza inanikumbusha kama melody ya wimbo fulani hivi wa msanii wa r'n'b wa nje.kuna ambaye ameshaligundua hili?