hazole1 JF-Expert Member Jan 3, 2015 4,319 3,911 Jun 27, 2017 #21 Hao waandishi waongo waongo wawage wanafukuza hivyo hivyo wanakuwa hawana maana.
Nyani Ngabu Platinum Member May 15, 2006 92,227 113,584 Jun 28, 2017 #22 HELA said: Hii ni mpya kabisa. Mfanyakazi wa CNN amebambwa akieleza jinsi CNN inavyomuandama Trump. Jamaa amesema Trump-Russia ni upuuzi mtupu lakini wanakomaa nazo sababu ya ratings Click to expand...
HELA said: Hii ni mpya kabisa. Mfanyakazi wa CNN amebambwa akieleza jinsi CNN inavyomuandama Trump. Jamaa amesema Trump-Russia ni upuuzi mtupu lakini wanakomaa nazo sababu ya ratings Click to expand...
marcus rojo JF-Expert Member Mar 19, 2017 1,496 5,317 Jun 28, 2017 #24 Nyani Ngabu said: Click to expand... Bora umeweka wewe ndugu yako BAK naona kashupaza shingo Nyani Ngabu said: Click to expand...
Nyani Ngabu said: Click to expand... Bora umeweka wewe ndugu yako BAK naona kashupaza shingo Nyani Ngabu said: Click to expand...
ofisa JF-Expert Member May 15, 2011 4,139 3,767 Jun 28, 2017 #25 Kwa vichapo vinavyoendelea syria,ni dhahiri vitu vingi vya russia vinakuzwa na marekani ili afanye biashara.
Kwa vichapo vinavyoendelea syria,ni dhahiri vitu vingi vya russia vinakuzwa na marekani ili afanye biashara.
S Siyabonga101 JF-Expert Member Mar 8, 2016 2,424 2,297 Jun 28, 2017 #26 Root said: Fake News Network Click to expand... FNN.
SirChief JF-Expert Member Jun 23, 2014 3,304 3,367 Jun 29, 2017 #27 Wakampa na Putin kofia mpya kabisa:CNN powerfull man 2016,Hii yote ili kum demoralize Trump na team yake.Upuuzi mtupu.
Wakampa na Putin kofia mpya kabisa:CNN powerfull man 2016,Hii yote ili kum demoralize Trump na team yake.Upuuzi mtupu.
joefrancy JF-Expert Member Dec 11, 2014 792 548 Jun 29, 2017 #28 Ni H atari kabisa hawa CNN waliwamanisha watu wengi sana kumbe fake news.
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,134 141,950 Jun 29, 2017 #30 Aljazera nayo mbona wanailea sana... Cc: mahondaw