wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Jamaa wanaelewa pia tumepigwa tozo zinazoumiza.
Anatafuta recordHalafu hata haipendezi, Mwanamke eti unakuwa dictator! How comes?
Hawa ni vijana wa Ccm waliunda group katika kipindi cha mwendazake wakisapoti maendeleo yake yaani MATAGA-MAKE TANZANIA GREAT AGAINMkuu
Kama hutojali unaweza kunifahamisha kwanini umeniita hili jina?
Yaani cdm wafanye mambo ya hovyo na kudharau sheria zilizowekwa na kuwa na matamshi ya kutishia amani halafu vyombo vya ulinzi na usalama wamwangalie tu, hiyo haipo halafu huyo mnyaturu ameweka taaluma ya sheria pembeni na kupotosha kuhusu sheria mbalimbali za kwetu yaani amekuwa mwongo kupitiliza kwaajili ya kupamba siasa za chuki hata mimi ningekuwa kiongozi wa chombo kilichomtia nguvuni huyo jamaa ningehakikisha yeye na genge lake wanaheshimu sheria za nchi yaani kila upuuza atao ongea tayari nipo mlangoni kwake yaani mpaka anyooke magereza kungekuwa nyumbani kwake hatuwezi fuga ujinga namna hii mwisho wa siku itugharimuHalafu hata haipendezi, Mwanamke eti unakuwa dictator! How comes?
Leo kulikua na mbio za mwenge je waliruhusiwa kwa kigezo gani na kuna corona?Msisahau dunia nzima anakataa mikusanyiko kwa kujikinga na Corona. Je kukusanyika kwanza si kueneza Corona?
Dunia kwa sasa haizuii mikutano,ila inataka hata kukiwa na kusanyiko,basi kuwe na social distancing,ndio maana hata washabiki wanaruhusiwa kuingiaMsisahau dunia nzima anakataa mikusanyiko kwa kujikinga na Corona. Je kukusanyika kwanza si kueneza Corona?
Kunywa maji kwanza mkuu, unaonekana una haraka sanaYaani cdm wafanye mambo ya hovyo na kudharau sheria zilizowekwa na kuwa na matamshi ya kutishia amani halafu vyombo vya ulinzi na usalama wamwangalie tu, hiyo haipo halafu huyo mnyaturu ameweka taaluma ya sheria pembeni na kupotosha kuhusu sheria mbalimbali za kwetu yaani amekuwa mwongo kupitiliza kwaajili ya kupamba siasa za chuki hata mimi ningekuwa kiongozi wa chombo kilichomtia nguvuni huyo jamaa ningehakikisha yeye na genge lake wanaheshimu sheria za nchi yaani kila upuuza atao ongea tayari nipo mlangoni kwake yaani mpaka anyooke magereza kungekuwa nyumbani kwake hatuwezi fuga ujinga namna hii mwisho wa siku itugharimu
Sawa MATAGAmagu kila alivokuwa akihutubia alikuwa akiwasema mabeberu nikawa nasema huyu mzee nae na mabeberu kila siku kumbe alikuwa sawa ukiangalia Uganda apo kuna utumbo mwingi, angalia Rwanda, angalia Burundi ila wenyew wanaangalia Tanzania tu kwingine Hapana
Kosa halihalalishi kosaWanaokusanyika Kesho Kigoma wanaeneza nini?
Kosa hali halalishi kosaLeo kulikua na mbio za mwenge je waliruhusiwa kwa kigezo gani na kuna corona?
Ute Tezi was kitotoDunia kwa sasa haizuii mikutano,ila inataka hata kukiwa na kusanyiko,basi kuwe na social distancing,ndio maana hata washabiki wanaruhusiwa kuingia
Kumbe kosa lifanywe upande mmoja tu??Kosa hali halalishi kosa
Jana usiku kulikua na tamasha la muziki kigoma vipi pia tusiangalie kosa juu ya kosaKosa hali halalishi kosa
Kosa si kufanya kosa, kosa kurudia kosaKumbe kosa lifanywe upande mmoja tu??
Anae side na CCM ana maslahi binafsiDunia yote iko against na CCM.
Mabavu ndo salama ya CCM.
Heshima yao ilisha kufa.
Mechi za mpira wa miguu hakuna mikusanyiko!!??Msisahau dunia nzima anakataa mikusanyiko kwa kujikinga na Corona. Je kukusanyika kwanza si kueneza Corona?