CNN: Makampuni 5 ya uchimbaji dhahabu hayajawahi kulipa kodi ya dola bilioni 40 tangu 2000

Tatizo lako nadhani ni miongoni mwa wale waliotumbuliwa kwa vyeti fake,ubadhilifu wa madaraka au hujui unachokiongea
1. Si kweli kwamba tume hazikuwa huru ,walichokitafiti ndicho walichokiwakilisha kwa watanzania
2. Huwezi kumuhukumu mwizi bila kuwa na uthibitisho wa alichokuibia na thamani ya kitu alichokuibia
3.Nyie kama pressure group la CHADEMA. kama hamna cha kuongea ni bora kukaa kimya watu wafanye kazi
Ile report ni ya watoto wa form four ambao ndio wanajifunza kuandika. Alafu ukiitazama utagundua hata walicho kiandika hawakijui. Maana lugha imetumika ni English so wamecopy tu mahali.
 
Kwahiyo cnn imepotosha kuwa hakuna kampuni ambayo imewahi lipa hyo kodi kwenye uchimbaji madini ila acacia ndio wanadaiwa nayo!!!!! Kwahyo cnn wamekataa hatujaibiwa au wamekataa hizo figures

Na nilijua tu yaani nchi yetu bhana ukikosoa tu inaonekana unatetea wezi.... yaani kisa tumeibiwa ndio tusihoji hizo digits!!!! Wwe unayeshabikia ushafanya utafiti binafsi ama whatever magufuli says is right!!!! Kuibiwa tumeibiwa shida yetu ni hizo figures basi sasa hayo ya kutetea wezi yanatoka wapi
FIGURE?KWA HIYO ZA CNN YA WAZUNGU NO SAHIHI , ZA NDUGUYO WATANZANIA NO FAKE ?
 
Hao ccn wao wako na Takwimu nzuri labda watusaidie kujua haya makampuni makubwa 5 ya uchimbaji madini duniani yameongeza uzito wa makinikia tani ngapi tangu 2000? Wazungu hatari sana katika ubunifu. Wamebuni kuweka cha juu katika uzito wa makanikia. Na ccn kama ilivyo kwa wengine tatizo hili wamelifumbia macho/wamelipotezea.


Na washawasha!
 
Muheshimiwa nakubaliana na logic unayozungumzia. Ila pia hawa wazungu si watu wa kuwaamini ni wadanganyifu sana na wakwepaji wa kodi sana hata huko Ulaya na Marekani na wana cook data sometimes. In Corporate Governance citing an example of the collapse of Enron Corporation ndipo Utakapojua jinsi gani hawa jamaa hawana maana. Enron is an Energy Company found in Texas 2000. It was one of the most profitable energy company in the world but whta happened ni kwamba Wakaanza kudangaya kuficha madeni yao, overstated revenues, waka overstate share value na mbaya sana waka corrupt reputable world auditing firms zitoe ripoti za uongo, lakini kila kitu kina mwisho wakenr na kampuni ika kolapsi,soma Enron scandal. Sasa ninachosema mimi hawa ni wezi tu hata kama si kwa kiwango hiki wametuibia sana. Mwisho hakuna haja ya kupingana na data za maprofesa kwa maneno tu au kwa logic kwa kitu ambacho wao wanadai wamekifanya Kisayansi, jibu ya hili ni kuchunguza huo mchanga tena basi hakuna haja ya kubishana.

1. Ripoti ya maprofesa inadai migodi mitatu inaingiza zaidi ya migo 20 ya kampuni kubwa ya duniani? Is that logical? Hizi namba hauwezi mtu kutaja tu. Mtu unaweza ku-assess production kapacity kwa kuangilia vitu fulani. Kwa mfano mtu mwenye dala moja hawezi kuwa na kipato cha mtu mwenye 10. Kwenye kila industry, experts can estimate. Kwa ripoti ya maprofesa ACACIA wakiliropiti revenue 1billion wana kuwa wanaficha 6 billion. Wanafichache ukiangalia logistical size and operations? Simple logic. ACACIa is a listed company. Wanaficha ili hela wampe nani wakati wenye kampuni ni public. Value ya ACACIA ni chini ya $3bil. Hisa za Barrcik ndani ya ACACIA ni chini ya $2 bil.

2. Wewe ukipata sehemu ina gold ukaanza biashara ya kuchimba, unafikiri hauta kuta madini mengine ndani ya huo mchanga. Chimba hata kwako leo upime uone. Haina maana kwamba extraction ya hayo madini ni '"commercially viable". We we utatoa kile ambacho value vs cost of extraction ni faida kwako.

3. Maprofesa sio lzima wawe wataalam. Ni Academicians. Naona hata industry trends hawazingatii kwenye ripoti. Wanafuata vitabu vyai vya shule tu. Utasemaje ACACIA haijasajiliwa wakati ACACIA ni rgistered brand name? Mbona kwenye biashara ni kitu cha kawaida? Ni kwa sababu wako vyoni hawako makazini. A simple background check would have answered that question. Wanatutia aibu kwa kweli
 
Salary Slip at large. Yaani reference yako ni CNN? Kweli umekwisha. Rais wa nchi ambapo chombo hicho kiarusha matangazo yake alisema kinatoa fake news! Wewe unapata wapi uthubutu wa kuitumia kama chanzo sahihi cha habari za 'waporaji' wa rasilimali zetu?
Kiongozi unachopinga hapa nini?
Kwamba TRA hawajapeleka
KODI 425T?
hao CNN siwametangaza kama habari ya Kawaida tu au umeelewaje?....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prof Mruma na Wenzie wamemuingiza Chaka Magu

Lakini ukweli ni kuwa Magu anapewa anachotaka kukisikia, hivyo kila mtu anamlisha kasa na mwisho wa siku anaonekana ni kituko tu
Bashite anamlisha kasa
Sirro anamlisha kasa
Ndugai anamlisha kasa
Lipumba anamlisha kasa
Polepole anamlisha kasa

Kazi anayo mkuu wetu maana Serikali ilishasema kwenye Ripoti zake ya pili kuwa ACACIA ni Kampuni hewa, kwa maana haijasajiliwa, iweje TRA wawape notification ya kulipa kodi ilihali ni kampuni hewa?
Taifa hilo lina mambo ya ajabu sana kwa kweli

Kubwa ni kutokana na ujinga Wa wananchi wake
 
Msimamo wa Magufuli umeiharibia Tanzania sifa kubwa sana kimataifa.
Mamburula wataandamana kushangilia ila wawekezaji watafunga breki kujiangalia upya nia yao ya kuwekeza Tanzania.

Kama wawekezaji wenyewe ndio hawa wezi, bora waende.Tunawajua hawa mabepali ni mabingwa wa propaganda, wanajaribu kutumia kila mbinu kwa gharama yoyote ili kujisafisha.Msimamo wa Jpm umepeleka msg kwa wengine.
Mamburura ni wale ambao wapo tayari kuona taifa likiendelea kuibiwa kwa kisingizio cha uwekezaji.hizi rasilimali zinagombewa kwa sasa ulimwenguni, we ukizira utapishana na mwenzako mlangoni.
 
Kama wawekezaji wenyewe ndio hawa wezi, bora waende.Tunawajua hawa mabepali ni mabingwa wa propaganda, wanajaribu kutumia kila mbinu kwa gharama yoyote ili kujisafisha.Msimamo wa Jpm umepeleka msg kwa wengine.
Mamburura ni wale ambao wapo tayari kuona taifa likiendelea kuibiwa kwa kisingizio cha uwekezaji.hizi rasilimali zinagombewa kwa sasa ulimwenguni, we ukizira utapishana na mwenzako mlangoni.
Hakuna bepari aliyekuibia mkuu, ni viongozi wako na sasa wanaitwa makaburi ambayo hatuwezi kuyafukua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Askofu Kilaini wa kanisa katoliki alipobanwa na waandishi wa habari kuhusu shillingi millioni 80.5 alizopokea kutoka kwa James Rugemalira (ambae kwa sasa yupo ndani kwa tuhuma za uhujumu uchumi) kupitia benki ya mkombozi, alinukuliwa na gazeti la mawio akijitetea kwa kusema “Michango inayoletwa kwangu haina siri, shikeni wezi halisi,” .

Askofu Eusebius Nzigirwa wa kanisa hilo hilo la kikatoliki iliandikwa na yeye alipata mgao wa shillingi 40.4 milioni kutoka kwa James Rugemalira na Padri Alphonce Twimanye Simon wa kanisa hilo hilo la kikatoliki alipata mgao wa shillingi 40.4 milioni.

“Hizo taarifa zimenishtua sana. Bado nashangaainakuwaje mimi naambiwa nimechota fedha kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow,”
hii ni nukuu ya maneno ya askofu Nzigirwa.

Chanzo: Askofu Kilaini na Nzigirwa wazungumzia tuhuma za Wizi wa Pesa za Escrow | MPEKUZI

Hoja ya kuleta hayo ni kwanza gazeti la mawio jinsi lilivyo nukuu kitaalam kuhusu Kilaini huku likijisahau kuwa ukikutwa na mali ya wizi na wewe mwizi.

Pili nauliza, hivi walilipia kodi hizo pesa au watumishi wa kanisa wapo exempted na kodi?

TRA hudai kodi kwa kupitia hesabu za tuhuma au hesabu halisi zilizokaguliwa (audited)?

Zinazowakabili wote niliowataja ni tuhuma nzito za uhujumu uchumi. Lakini cha kushangaza zote tunazifatilia kwa njia tofauti. Hatuna sheria na kanuni za kufatilia mambo haya kisheria?

TRA wangesubiri mazungumzo au arbitrations ziishe ndiyo waanzie hapo au kuna mbinu za negotiations zinatumika kwa manufaa ya Tanzania? Maana nionavyo wazungu wameanza kutupaka matope kwa manufaa yao.

Naamini "mtoto akikunyea huukati mkono" na mtoto hubaki kuwa ni wako tu.

Kwa wazungu kampuni hizo za madini zitabaki kuwa ni watoto zao kama ilivyo kwa maaskofu watabaki kuwa ni watoto wa kanisa katoliki. Hutoona tuhuma zikitokea kwao kuwa watoto wao wanafanya vibaya, kinyume chake tutaona kila mzazi, ndugu, jamaa na marafiki watawatetea watoto wao.

Nami nimtetee nani?
Mama, penda kujadili hoja husika sio kuleta porojo porojo za Kipumbavu, Pesa ya hao Maaskofu iliishalipwa na Kanisa Katoliki! Na Askofu Mmoja kuhamisha kituo Cha Kazi! Hilo la Ngereja kurudisha si la kwanza bali anafuata nyayo na sio hao Maaskofu tu bali hata wengine wameisharudisha kimyakimya!


Rudi jadili mada ya ACACIA!
 
Mama, penda kujadili hoja husika sio kuleta porojo porojo za Kipumbavu, Pesa ya hao Maaskofu iliishalipwa na Kanisa Katoliki! Na Askofu Mmoja kuhamisha kituo Cha Kazi! Hilo la Ngereja kurudisha si la kwanza bali anafuata nyayo na sio hao Maaskofu tu bali hata wengine wameisharudisha kimyakimya!


Rudi jadili mada ya ACACIA!
Isome post niliyoiandika mpaka mwisho.

Nafahamu umeghadhibika kuona maaskofu wametajwa lakini usighadhibike, nimejenga hoja.

Unajuwa kuwa kanisa katoliki ni kubwa kuliko acacia?
 
Eti tuna wasomi tena eti maprofesa! Tumejiaibisha sana duniani! Sasa ukijitambulisha nchi za watu wewe ni mtanzania utagundua expressions za uelewa wako kutiliwa shaka! What poor minds!
 
Isome post niliyoiandika mpaka mwisho.

Nafahamu umeghadhibika kuona maaskofu wametajwa lakini usighadhibike, nimejenga hoja.

Unajuwa kuwa kanisa katoliki ni kubwa kuliko acacia?
Acha kuuliza Maswali ya Kijinga, unatia hasira sana hasa unapojadili hoja isiyolandana na hoja jadiliwa!
 
Back
Top Bottom