CNN: 'Don't use birth control,' Tanzania's President tells women in the country

Awali ya yote ni vema uwe na lugha ya heshima kwa Head of State...Acha kutumia lugha ya 'jiwe', 'kuropoka' dhidi ya Mkuu wa nchi...jenga hoja yako vizuri bila kutumia lugha ya udhalilishaji kwa kiongozi wa nchi....Hiyo ni moja na jambo la pili ni vizuri ujiongeze katika masuala ya uelewa wa issues wa namna dunia inavyokwenda...Birth control ina athari zake...na wazungu wana maana kubwa kupigania birth control kwa third world countries ukiacha 'kilio' chao cha kudhibiti umasikini...wana ajenda yao kubwa zaidi...
Jiwe mwenyewe ndio anatumia lugha za hovyo na kuropoka, hivyo lugha za ovyo anazisababisha mwenyewe. Jiwe, Ukichaa, Fyatueni na mengine kayatamka mwenyewe ...Kiongozi wa Nchi anajifedhehesha kwa kauli zake mwenyewe ... Kauli zake zinachukuliwa kwa uzito mkubwa mno.
 
Awali ya yote ni vema uwe na lugha ya heshima kwa Head of State...Acha kutumia lugha ya 'jiwe', 'kuropoka' dhidi ya Mkuu wa nchi...jenga hoja yako vizuri bila kutumia lugha ya udhalilishaji kwa kiongozi wa nchi....Hiyo ni moja na jambo la pili ni vizuri ujiongeze katika masuala ya uelewa wa issues wa namna dunia inavyokwenda...Birth control ina athari zake...na wazungu wana maana kubwa kupigania birth control kwa third world countries ukiacha 'kilio' chao cha kudhibiti umasikini...wana ajenda yao kubwa zaidi...
Aliyejiia Jiwe ni rais mwenyewe na aliyejiita Kichaa ni huyo huyo rais, badala ya kuniambia mimi niwe na lugha ya heshima ungeanza kumwambia rais mwenyewe awe na lugha za heshima anapo address watu.

Pili kuhusu birth control kama ina athari umeshawahi kuishauri serikali ijitoe kwenye mpango huo au unapinga tu kwa vile Jiwe kapinga, hiyo programe ina bajeti yake inayosainiwa na rais tuseme rais naye ana ajenda ya siri kukubali kutumiwa kwenye programme hiyo? Wakiwa wamejifungia ofisini wanapokea misaada yao hadharani mnajidai kupinga.
 
Jiwe mwenyewe ndio anatumia lugha za hovyo na kuropoka, hivyo lugha za ovyo anazisababisha mwenyewe. Jiwe, Ukichaa, Fyatueni na mengine kayatamka mwenyewe ...Kiongozi wa Nchi anajifedhehesha kwa kauli zake mwenyewe ... Kauli zake zinachukuliwa kwa uzito mkubwa mno.
Nimewaambia watetezi wake watapata tabu sana kufanya damage control maana wanayemtetea hujui na huoni kama anakosea.
 
Nimewaambia watetezi wake watapata tabu sana kufanya damage control maana wanayemtetea hujui na huoni kama anakosea.
Uko sahihi, tabu za kufanya damage control hazikwepeki mpaka Jiwe atakapomaliza mda wake, hao watetezi wanachofanya ni Ukichaa Ukichaa.....na kujitoa ufahamu.
 
Methinks rais alikuwa amechomekea tu kama kawaida yake.Tatizo ni kwamba kuna mambo ambayo rais hastahili kabisa kuyafanyia mzaha hadharani. Kama yeye mwenyewe anao watoto wawili tu basi haiwezekani akawaambia watu wasipange uzazi wakati yeye mwenyewe amefanya hivyo. Tofauti na yule Profesa wa Newzealand aliyetembelea Tanzania miaka ya 1980 kupigia chapuo matumizi ya njia ya asili ya kupanga uzazi wakati mwenyewe alikuwa na watoto 9!
 
Mimi nimeishi na kufanya kazi na wazungu miaka mingi sana Afrika na huko majuu na nawafahamu kwa uzuri kabisa.

Mwafrika kwa mzungu kila kitu unachofanya kwake yeye ni lazima kiwe ni 100/100.

Ukikosea siku moja hata kakosa kidogo tu, basi hiyo 100/100 wanaifuta na unakuwa yuleyule mwafrika wa kule porini wanakoamini siku zote hakuna waafrika wenye vipaji na akili.

Kwahio kinachofanyika hivi sasa ni kwamba hata kama KPI ya raisi Magufuli iko juu, wao wanachofanya ni kutafuta vikosa vidogovidogo na kuvikuuza kwa minajili ya kumshusha zile alama zake za nguvu anazoendelea kuzipata kwa mambo anayoifanyia Tanzania.

Hivyo tuwe tunaelewa hilo.
Na mimi nimeishi nao nimesoma nao na nimefanyanao kazi kwao ni wabaguzi sana, lkn hatuwezi kuuficha udhaifu wetu kuwa sisi ni 'wajinga' compared to them, haiwezekani kama tunajua serikali inajua na rais anajua kuwa birth control ina athari still tunaendelea kupokea misaada yao na pills za mpango huo, who is fool then.

Afrika kama Afrika lazima tujitafakari kuanzia sisi wananchi wa kawaida hadi viongozi, tusipo change mind set zetu kwa kujitegemea kulinda maliasili zetu 'si kinafiki' tutaendelea kuwalaumu wazungu milele,

Badala ya kupambana na wazungu tupambane na viongozi wetu ma chief mangungo mamboleo wanaoziuza nchi zetu kwa mikataba ya kinyonyaji.

China hiyo inagawana Afrika kweupe tunaona kwanini hatustuki, baada ya miaka 20 ijayo tutakuja kuwalaumu wachina na vyombo vyao kama tunavyowalaumu wazungu leo.
 
Na mimi nimeishi nao nimesoma nao na nimefanyanao kazi kwao ni wabaguzi sana, lkn hatuwezi kuuficha udhaifu wetu kuwa sisi ni 'wajinga' compared to them, haiwezekani kama tunajua serikali inajua na rais anajua kuwa birth control ina athari still tunaendelea kupokea misaada yao na pills za mpango huo, who is fool then.

Afrika kama Afrika lazima tujitafakari kuanzia sisi wananchi wa kawaida hadi viongozi, tusipo change mind set zetu kwa kujitegemea kulinda maliasili zetu 'si kinafiki' tutaendelea kuwalaumu wazungu milele,

Badala ya kupambana na wazungu tupambane na viongozi wetu ma chief mangungo mamboleo wanaoziuza nchi zetu kwa mikataba ya kinyonyaji.

China hiyo inagawana Afrika kweupe tunaona kwanini hatustuki, baada ya miaka 20 ijayo tutakuja kuwalaumu wachina na vyombo vyao kama tunavyowalaumu wazungu leo.

Hakuna anaemlaumu mzungu.

China walianza kudhibiti idadi ya wachina baada ya idadi hiyo kufika zaidi ya Bilioni 1.

Lakini leo hii China ina wakazi bilioni 1.3 na watumiaji wa internet wapatao 600 milioni.

Leo raisi wa China bwana Xi yupo Russia anatiliana saini mkataba raisi Putin wa kuboresha ushirikiano wa kibiashara, kwanini ?

Kwa sababu Marekani amemzuia China kuendelea kutawala soko lake la ndani kwa kuweka tozo za juu kwa bidhaa za kutoka China.

Lakini hapohapo watumiaji wa internet barani Ulaya ni milioni 546 na Marekani wapo milioni 277.

Hivyo na sisi tutafute namna ya kudhibiti uzazi wa mpango na kutumia kwa faida yetu na siyo mtu mwingine.
 
Hakuna anaemlaumu mzungu.
.........
Hivyo na sisi tutafute namna ya kudhibiti uzazi wa mpango na kutumia kwa faida yetu na siyo mtu mwingine.
Mkuu hizi paragraph mbili ni kama umeji contradict mwenyewe.

Ulianza kuwalaumu wazungu na vyombo vya nikakuambia wao wana report kutokana na matamshi yetu...... ok,

hili la kudhibiti mpango wa uzazi sijakuelewa, kudhibiti how?, unajua national health policy yetu ina zungumzia uzazi wa mpango na TBC wana kipindi wanachorusha kila siku.
 
My President is very right, Mungu kasema tuijaze Dunia inakuwaje wazungu watuletee plans zao za ajabu za uzazi wa mpango? Na kaongea kweli watu awaitaki kuzaa watoto wengi sababu awataki kujishunghulisha, formula ya kuijaza Dunia ni pamoja na kuongeza nguvu kazi na watu wajishughulishe, hizi plan nyingine za uzazi wa mpango ni za kumpinga Mungu tu,
Unajua Rais wako ana watoto wangapi? na kwa nini?
 
Mkuu hizi paragraph mbili ni kama umeji contradict mwenyewe.

Ulianza kuwalaumu wazungu na vyombo vya nikakuambia wao wana report kutokana na matamshi yetu...... ok,

hili la kudhibiti mpango wa uzazi sijakuelewa, kudhibiti how?, unajua national health policy yetu ina zungumzia uzazi wa mpango na TBC wana kipindi wanachorusha kila siku.

Kudhibiti kwa kutoa elimu ya athari za mimba za utotoni na pia kuweka mkazo kwenye kuhakikisha watoto wanasoma shule badala ya kuolewa wakiwa na umri mdogo.
.
 
Ujerumani wana tatitizo ndio maana walichagua waturuki wanede kula angalau wanafanana nao lakini sasa hivi wana tatizo jingine kwani waturuki wengi ni waislamu ndio maana makanisa yanageuzwa misikiti Rais anaweza kuwa sahihi au kutokuwa sahihi hawa watu wangekuwa wazuri kama wangehimiza tuzaane kutokana na uwezo wetu wa kulea lakini sio kuanza kushawishi hata wanaume wafunge vizazi au wanawake watumie vidonge ambavyo vinaleta madhara.
uzazi wa mpango haukuletwa na wazungu kwani tulikuwa nao kabla wao hawajafika ndio maana mama alipozaa hakutakiwa kufanya mapenzi na mme wake kwa kipindi fulani ili mtoto aweze kukua ndio hapo lilizuka neno kubemenda ingawa halikuwa na mahusiano ya mojaq kwa moja
 
Eti cnn wametusema kwa mabaya. Kukataa contraceptives zilizosababisha matatizo ya uzazi kwa wengi kuna ubaya?

Kwa nini China waliodhani ni wengi, wakapitisha sheria ya familia moja, mtoto mmoja kwa sasa sheria hiyo imefutwa na kutaka watu wazae sana?

Kwa nini nchi nyingi za ulaya wanawalipa wazazi walioganikiwa kupata watoto?

Halafu huo uongo wa Magufuri kuwa na watoto wawili mnadhani mnadanganya watu gani?
 
Best president Ever.unajua,sisi ni waafrica.Tuna mila zetu na tamaduni zetu.hta biblia imesema.mkazaliane.viva ccm.hoyeeee
Magufuli uongezewa siku za maisha
 
Hii aibu gani hii? Huyo aliyemuambia Magu kuwa uzazi wa mpango ni kutokuzaa amempotosha. Uzazi wa mpango ni nyenzo ya kumpa binadamu freedom of choice inapokuja kwenye familia. Uzazi wa mpango unamsaidia mtu kuamua lini azae na idadi gani ya watoto na jinsia gani.

Lazima tukubali kuwa uzaaji usio na mpangilio umepitwa na wakati. Siyo kila tendo la ndoa lipelekee mimba mengine yatumike kama burudani. Mtu hutegemei unasikia wife anasema ana mimba lazima vizuizi vitumike na hata kama tutazaa watoto saba lazima kuwepo mpangilio siyo wa kwanza ana mwaka mmoja unapata wa pili no no no
Hujakosea ,magu anacho sisitiza ni hiki uzazi wa mpango unachangamoto zake nahisi hizo ndizo zinapelekea asiamini mfano wewe ni mwanaume unataka kuzaa kwa mpango lazima tukakate au tufunge njia ya kupitisha mbegu,siza wataalam wana jua vivyo hivyo mwanamke wafunge au wakate ,au vidonge sasa hapoo kwenye vidonge wengine hawazioni siku zao kabisaaa jumla huyo tayari kawa mgonjwa wengine nikuchinja kuku kula siku sasa unachokua unakwepa nini gharama za hospital ziko pale pale,wakukata nakansa zinaanzia hapo kidogo utakua umeelewa.
 
Unajua, ukishafahamu who is who in this World hupati shida sana.Nilijua issue hii BBC,CNN na hata magazeti ya Uingereza na Marekani yatadakia.Si muda mfupi ujao serikali za Marekani na Uingereza nazo zitadakia.Ukweli hata hivyo utabaki, kwamba birth control especially by the pill and implant is a NWO human extermination project for the sole purpose of depopulating the planet for selfish motives,so Magufuli is 100% correct!

We know who owns the media and World governments and especially the American,British, German and French governments>the NWO,so we are not at all surprised.Hutasikia upuuzi huu RT(Russian TV),CGTN na Press TV because they are not controlled by the NWO.Aljazeera wanaweza kudakia kwa kuwa Qatar ni NWO affiliate.
 
Hivi mnafikiri tukiijaza hii nchi ndiyo tutaishi kwa raha nawaambia tutakuja kulana kama wanyama nawaambieni.
Nadhani unakuwa 'emotional' kwa jambo dogo sana, na una liongelea kama mjuaji pekee juu ya mambo haya na kuwaona wengine wenye mawazo tofauti na yako kuwa kama hawajui chochote kwa kurahisisha na kuifupisha hoja kuwa juu ya "kujaza nchi kubwa na kukosa sehemu ya viwanda n.k.." Hebu nenda 'google' katafute eneo na idadi ya watu wa Korea Kusini, uvilinganishe na eneo na idadi ya watu wa Tanzania.
 
Lumumba August 12, 2016 iliathiri nini?

Sio iliathiri nini. Kauli kama hiyo toka kwa kiongozi kama huyo inarudisha mjadala kwa wananchi, na wanaoifanya kazi ya kueneza mpango wa uzazi kazi yao inazidi kuwa ngumu. Kama huliamini hilo utakuwa hujui kazi ngumu wanayoifanya hao watu kuwashawishi mpango ukubalike na wananchi.
Mengine uliyoyazungumzia ngoja nikuache ulivyo.
 
"You have cattle. You are big farmers. You can feed your children. Why then resort to birth control?" he asked. "This is my opinion, I see no reason to control births in Tanzania," Magufuli, who has two children, said.

:)
 
Back
Top Bottom