UPOPO
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,442
- 5,386
Heshima.gani tumeonekana wajinga sana .Badala ya kufuata njia sahihi za kujikinga na kutibu tukabaki kama wajima .Ndugu zetu wamekufa kizembe sana mpaka mwendazake naye umemwondoa na ikulu imeadhirika sana.Ona Kenya au Uganda kama kuna kiongozi amekufa kizembe hasa wa ikulu .kuwavimbia kwenye issue ya Corona kulitujengea heshima kubwa
Sasa subiri waje wenyewe kuhakiki wakikuta hiyo inayoitwa Corona haipo ,mitaani watablack list watu kwa utapeli