CMD EXPERTS.WATAALAMU WA COMMAND LINE ZA CMD

Hosea alute

Member
Dec 16, 2017
11
1
Habar zenu jaman.kwanza nawatakia heri ya xmass na mwaka mpya .Ndugu me ninashida na wanaojua cmd ( command line zake ) au hata kama unavideo au link ya toturial nzur ntumie hoseaalute3@gmail.com au 0621920438 .ahsanten
 
kuna kitu specific unataka kufanya?? au unataka tutorial za cmd kwa ujumla wake?
 
Ka huwezi ingia Google then forget it usitumie tu command line. Uvivu kitu kibaya sana, we kujua command line commands hadi uweke namba yako hapa wazi sasa hivi kila mtu anajua identity yako?

Au ndo usalama mnatoa namba ovyo ili wawatafute mdake identity zao? Maana naona kila mtu humu siku hizi akitaka kitu mara nitafute whatsapp namba hii. People mmekosa kazi kugawa namba zenu ovyo kwa kila mtu msiyemfahamu? Hamjui namba zenu zinaweza tumika kwenye mambo illegal alafu mkaishia kujutia?
 
Ka huwezi ingia Google then forget it usitumie tu command line. Uvivu kitu kibaya sana, we kujua command line commands hadi uweke namba yako hapa wazi sasa hivi kila mtu anajua identity yako?

Au ndo usalama mnatoa namba ovyo ili wawatafute mdake identity zao? Maana naona kila mtu humu siku hizi akitaka kitu mara nitafute whatsapp namba hii. People mmekosa kazi kugawa namba zenu ovyo kwa kila mtu msiyemfahamu? Hamjui namba zenu zinaweza tumika kwenye mambo illegal alafu mkaishia kujutia?
Waaooo tenx umetusaidia sana mungu akubariki
 
Back
Top Bottom