daniel enocy
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 380
- 413
CMA wametupilia mbali malalamiko yangu kisa sijafaili termination letter nifanyaje nikate rufaa wapi,coz mshitakiwa aliweka pingamizi but alichelewa kuwasilisha ,wamefanya mamuzi mawili kukata pingamizi la mlalamikiwa na pamoja namaombi yangu