Mgimilamaganga
JF-Expert Member
- Mar 31, 2019
- 266
- 257
Habari za muda huu wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada.Juzi hapa niliweka uzi unaohusu kumaliza mkataba wa kazi na niliomba kujua haki zangu.
Kuna mdau alinishauri niende CMA,Leo hii nikaamua kwenda lakini majibu niliyopata ni kwamba lazima niwe na Mwanasheria ndipo watalishughulikia hilo jambo.
Sasa naomba ushauri juu ya hilo,kwani binafsi sina uwezo wa kumlipa Mwanasheria.
Niende moja kwa moja kwenye mada.Juzi hapa niliweka uzi unaohusu kumaliza mkataba wa kazi na niliomba kujua haki zangu.
Kuna mdau alinishauri niende CMA,Leo hii nikaamua kwenda lakini majibu niliyopata ni kwamba lazima niwe na Mwanasheria ndipo watalishughulikia hilo jambo.
Sasa naomba ushauri juu ya hilo,kwani binafsi sina uwezo wa kumlipa Mwanasheria.