George Best- 1Manchester hebu wataje hao wachezaji waliptwaa hiyo tuzo.kwakweli sidhani km wapo.
Kama ni style ya waliopitia PSG na Milan wapo kibao kuliko ManGeorge Best- 1
Boby Charlton -1
Denis Law-1
Christian Ronaldo-1
Jumla wachezaji wa4.
Hawa walikuwa wachezaji bora wakiwa united bado.Kama ni style ya waliopitia PSG na Milan wapo kibao kuliko Man
Hawa walikuwa wachezaji bora wakiwa united bado.Kama ni style ya waliopitia PSG na Milan wapo kibao kuliko Man
2008 Ronaldomanichester haijawahi kutoa mchezaji wa kuchukua hiyo tuzo labda kama unahesabia tuzo anazochukua Chirstian Ronaldo akiwa Real Madrid
Cristiano RonaldoManchester hebu wataje hao wachezaji waliptwaa hiyo tuzo.kwakweli sidhani km wapo.
hebu tutajie hao waliochukua hiyo tuzo toka man u maana hata ukifatilia hakuna hata mchezaji mmoja sijui man u ya wapi unaizungumzia labda ya ndondo kapu fatilia hii link List of the Ballon d'Or Winners
Kijana vipi tena..?manichester haijawahi kutoa mchezaji wa kuchukua hiyo tuzo labda kama unahesabia tuzo anazochukua Chirstian Ronaldo akiwa Real Madrid