Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Club hicho kinachoshiriki ligu ya seria A ya italy kimefikia hatua hiyo kutokana na matokea mabovu yanazozipata club pindi wapigapo picha na msanii huyo
Inaripotiwa baada ya mchezaji wa dortumund kupiga picha na drake, walicharazwa mabao matano kwa nunge na dortimund
Aguero baada ya kupiga picha na drake, man city walikiona cha mtema kuni kutoka kwa totenham
Pia abameyung wa arsenal baada ya kupiga picha na drake walitandikwa vikali na evarton
Club hicho kimependekeza wasubiri mwisho wa musimu wanaweza kuruhusiwa
Picha za matukio
Tushukuru drake hajaja huku kwetu tanzania hawa kina ajibu na kina kindoki wangepiga picha na drake wangeacha kabisa mpira
Inaripotiwa baada ya mchezaji wa dortumund kupiga picha na drake, walicharazwa mabao matano kwa nunge na dortimund
Aguero baada ya kupiga picha na drake, man city walikiona cha mtema kuni kutoka kwa totenham
Pia abameyung wa arsenal baada ya kupiga picha na drake walitandikwa vikali na evarton
Club hicho kimependekeza wasubiri mwisho wa musimu wanaweza kuruhusiwa
Picha za matukio
Tushukuru drake hajaja huku kwetu tanzania hawa kina ajibu na kina kindoki wangepiga picha na drake wangeacha kabisa mpira