Club Ambiance ( Corner bar) yafungwa rasmi Kinondoni

Huu utawala wa ajabu kuwahi kutokea, fikiria ni ajira ngapi zimepotea. Kila mtu anatafuta misifa ya kijinga. Hii ni vita dhidi ya watu wa kaskazini
Sasa mambo ya kaskazini yameingiaje hapa na wewe?
 
Aiseee jamaa zangu wakitokaga mikoani huko wakitaka migegedo nawapelekaga pale halaf nawapatania mwnyewe nakula cha juu,,sasa cjui nitawapeleka WAP tena duuuh
 
Jaman hawa madada wanasaidia sana sasa tutaanza kubaka mana WAKOMBOZI mnawatoa hivi hamuelewi madada poa ndo wanawake pekee yenye promise ya kweli jaman siku ukijisikia tu unapata
 
2d15dc77156c14b8a89c10bdd2764997.jpg
Ambiance sa laaaaaaale
 
Vipi jamaa akienda mahakamani kudai fidia ya hasara anayopata? Maana ameshalipia mapato tra
 
Vipi usiku mambo yetu yale hayapo tena? Maana walikuwa wanajipanga barabarani na sio ndani ya baa
 
.... Kwa kasi hii ngoja tuone TRA mwezi July watasema Jan-June wamekusanya ngapi
Ni aheri kubaki masikini na dhiki zako kuliko kufurahia mapato ya dhambi.
Umalaya na ushoga, madawa ya kulevya, vyote vinaenda sambamba. Ukiona mtu anateteatetea jiulize marambilimbili kuhusu uadilifu wake ki maadali.
 
Hiki kichefuchefu sasa hapa mambo ya kaskazini yanaingiaje? Kwani hujui sheria inayozuia ukahaba au ku-facilitate ukahaba? Kwanini usimwambie mbunge wako aende bungeni kupeleka hoja ya kufuta sheria inayozuia biashara ya ukahaba badala ya kulilia ukanda kwa sheria ambayo ipo miaka zaidi ya 30 ila ilikuwa haijapata wa kuisimamia sawa sawa?
Kwaiyo kusimamia sheria ndo uhathiri na wasiohusika.au unadhani ni watu wangapi wamepoteza vipato vyao halali kwakufunga iyo bar.mbona ilo jambo lingeweza kusimamiwa na polisi na bar ikaendelea kutoa huduma zingine kama kawaida.nakama sheria zipo uyo mmiliki keshapelekwa mahakamani mara ngapi ili tumuite ni sugu kiasi chakufanya ofisi yake ifungwe..tuwe tunatumia akili wakat mwingine.eboo.
 
Back
Top Bottom