Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,631
- 20,968
"let's peoples breath wapi tunakwenda"...
Sasa mambo ya kaskazini yameingiaje hapa na wewe?Huu utawala wa ajabu kuwahi kutokea, fikiria ni ajira ngapi zimepotea. Kila mtu anatafuta misifa ya kijinga. Hii ni vita dhidi ya watu wa kaskazini
Kivip mkuuAnaleta udini wote tuwe wa dini yake! Why that move?
Kwani hakuna polisi wa kuwa kamata hao madada poa?Dah, tatizo nao wanakurupuka pale hapauzwi madada poa ila wanasogea pale kwakuwa kuna wanywaji ambao wengine wakitoka wanachukua madada poa. Ila kufunga biashara ya yule mzee sio poa.. Ngoja nitoke nikacheki kama ni kweli
Anaweza akawa anachukia pombe kwa imani ya dini yake akaichomeka/akapata kisingizio kuwa baa inapiga keleleKivip mkuu
MoriAiseee jamaa zangu wakitokaga mikoani huko wakitaka migegedo nawapelekaga pale halaf nawapatania mwnyewe nakula cha juu,,sasa cjui nitawapeleka WAP tena duuuh
Ambiance sa laaaaaaale
Ni aheri kubaki masikini na dhiki zako kuliko kufurahia mapato ya dhambi..... Kwa kasi hii ngoja tuone TRA mwezi July watasema Jan-June wamekusanya ngapi
Kwaiyo kusimamia sheria ndo uhathiri na wasiohusika.au unadhani ni watu wangapi wamepoteza vipato vyao halali kwakufunga iyo bar.mbona ilo jambo lingeweza kusimamiwa na polisi na bar ikaendelea kutoa huduma zingine kama kawaida.nakama sheria zipo uyo mmiliki keshapelekwa mahakamani mara ngapi ili tumuite ni sugu kiasi chakufanya ofisi yake ifungwe..tuwe tunatumia akili wakat mwingine.eboo.Hiki kichefuchefu sasa hapa mambo ya kaskazini yanaingiaje? Kwani hujui sheria inayozuia ukahaba au ku-facilitate ukahaba? Kwanini usimwambie mbunge wako aende bungeni kupeleka hoja ya kufuta sheria inayozuia biashara ya ukahaba badala ya kulilia ukanda kwa sheria ambayo ipo miaka zaidi ya 30 ila ilikuwa haijapata wa kuisimamia sawa sawa?