Clouds wanavyosota kumwangusha Hanstone

Miongoni mwa upcoming starz wanaofanya poa kwenye gemu la mziki wa bongofleva in msanii 'Hanstone'. Kijana anafanya poa sana kama walivyo kina Marioo, Mbosso Khan, Whozu na wengine kama buku ila huyu kijana wee weka mbali na watoto.

Kijana huyo jina lake ni Hassan Ramadhani Masanja mtoto wa aliyekuwa gwiji wa mziki wa kitanzania marehemu Banza Stone aliyetamba kwa vigoma kama Elimu ya mjinga, Supu ya kuku wa kienyeji na mtaji wa maskini anasema atamkumbuka baba yake sana kwani alikuwa mstari wa nyuma kwenye mziki licha ya kumshauri aachane na mziki ajikite kwenye Elimu

IPO HIVI, baada ya mzazi wake kutangulia mbele za haki, kijana huyo mwenye umri wa miaka 19 aliamua kumuenzi kupitia mziki na alianza kuonekana kupitia kibao cha iokote alichoshirikishwa na msanii Maua Sama.

Hata mtoto mdogo anaweza kukuambia Hanstone in nani kupitia ngoma hiyo. Baadae kijana Hugo aliamua kutoa ngoma yake mwenyewe 'acha lipite' akaja na 'i miss you mama' ngoma bora kuwahi kutokra kwenye historia ya bongo fleva.

Radio Mawingu waliweza kumpa support ya kufa raia hadi akatamba bongo mwishoni mwa mwaka jana na mwaka huu mwanzoni 2018/2019 lakini saivi mambo yanaanza kwenda kombo.

WCB WAHUSIKAAA.

Inasemekana kwamba miongoni mwa sababu kuu za kuzimwa na radio Mawingu basi Wasafi media inahusika kutokana na uhasama uliopo haina ya Mawingu na WCB.

Baada ya Hanstone kuonekana pamoja na CEO wa WCB Diamond platnumz na baadhi ya mamaeneja wake ikadaiwa kwamba msanii Huyo anaweza akasajiliwa na Wasafi hivyo Mawingu wakaanza kumuweka kando.

CHIBONGE YAHUSIKAA
Baada ya kijana Hugo kutoa kollabo Kali pamoja na Marioo ya Chibonge basi clouds wakakataa kuipa promo hapo nyimbo yenyewe kwa kuwa ni kali ikajipa promo yenyewe.

Ili kumzima Hanstone, Mawingu walikuja na mpango wa remix ambayo ilishirikisha Marioo, Abbah na G. Nako ambayobimepewa nafasi za juu sana kwenye chart yao ya top 20 lakini kiuharisia ngoma hiyo haijaifikia ile ya awali hata nusu.

Wale wanaojua kusoma nyakati naamini mtanielewa, kwa leo niishie hapoView attachment 1156556
KILLING MONOPOLISM OF A CERTAIN TANZANIA RADIO STATION WITH USE OF THE OTHER RADIO STATION IT IS GIVING BIRTH OF THE NEW MONOPOLISM OF THE NEW RADIO, THE ONLY WAY TO COME UP IS BY CONSESUS AGREEMENT IN A COMPETITIVE WAY (Kuua radio moja ya kibeberu ya kitanzania kwa kutumia radio ama media nyingine ya kitanzania ni kutengeneza ama kuumba radio nyingine ya kibeberu, njia pekee ya kutatua jambo ama kuokoa jahazi hili ni kufikia makubaliano ya kibiashara ktk kufanya biashara ya utangazaji kwa kupeana nafasi za kawaida za kiushindani, The grass are only living things get hurt on horse race🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼.
 
(Verse1) Mie samaki baharini..Chozi langu bure tu kwa maji lateketea..//
Sasa ntafanya nini..Na umesema nisijikune nisidiriki ata kuongea..//
Maapenzii..Kama kuna mwalimu anipeleke shule..//
Mie siwezi..Kila nachofanya ni sawa na bure..//
Mie mwenzako sijazoea../
Kitu kidogo wanifokea../
Mie toto dogo sijaanza tembea../
Iweje wanikimbizaaa.. (Pre-Chorus)
Lenye sura halikosi kisogo./
Unafuraga mithili ya mbogo./
Huna kubwa huna ata dogo./
Ooh mazigzaga bando kwa gogo./
Naimiss chaga futa mkorogo./
Unanipimiaga nusu kwa robo./ (Chorus)
Aacha lipitee..acha tu liende zake../
Aacha lipitee..Nitapishana na mengine../Aacha lipitee maana hujaanza leo hujaanza jana aachaa lipitee Hmmm."Ngoma tamu sana hii,naiskiliza muda huu"
 
mkuu acha kudanganya watu..

ngoma ya chibonge ile aliyopo G nako ndiyo original na ndiyo maana ikatangenezewa na video pia sio wimbo wa mario wala hanstone, zote(OG + RMX) ni nyimbo za producer Abbah..

alaf kuna sehemu umeandika I miss you mama ni wimbo bora kuwahi kutokea kwenye mziki wa bongofleva...ACHA BHANGE...
 
Ila support za msanii mmoja mmoja ndizo zinazochangia wasanii kufa na stress, Madawa ya kulevya kuwa sehemu ya maisha yao, kudanga kwa wasanii wa kike pamoja na ushoga kwa baadhi ya wasanii wa kiume!! Naona bado hatujajifunza tunaendelea kulilia mtu mmoja abebwe!! Wacha niendelee kusikiliza mashairi yenye PHD kutoka kwa Disasta Vina!!
Una ngoma ya Vina mpya?
 
Baadae kijana Hugo aliamua kutoa ngoma yake mwenyewe 'acha lipite' akaja na 'i miss you mama' ngoma bora kuwahi kutokra kwenye historia ya bongo fleva
yaani hizo ngoma ndio nazisikia leo kwako mkuu. halafu kumfananisha huyu dogo na mbosso sio fair
 
Duh! Kweli huu mchezo hauhitaji hasira

Ila kwakweli naipenda chibonge ya marioo na hans
 
Miongoni mwa upcoming starz wanaofanya poa kwenye gemu la mziki wa bongofleva in msanii 'Hanstone'. Kijana anafanya poa sana kama walivyo kina Marioo, Mbosso Khan, Whozu na wengine kama buku ila huyu kijana wee weka mbali na watoto.

Kijana huyo jina lake ni Hassan Ramadhani Masanja mtoto wa aliyekuwa gwiji wa mziki wa kitanzania marehemu Banza Stone aliyetamba kwa vigoma kama Elimu ya mjinga, Supu ya kuku wa kienyeji na mtaji wa maskini anasema atamkumbuka baba yake sana kwani alikuwa mstari wa nyuma kwenye mziki licha ya kumshauri aachane na mziki ajikite kwenye Elimu

IPO HIVI, baada ya mzazi wake kutangulia mbele za haki, kijana huyo mwenye umri wa miaka 19 aliamua kumuenzi kupitia mziki na alianza kuonekana kupitia kibao cha iokote alichoshirikishwa na msanii Maua Sama.

Hata mtoto mdogo anaweza kukuambia Hanstone in nani kupitia ngoma hiyo. Baadae kijana Hugo aliamua kutoa ngoma yake mwenyewe 'acha lipite' akaja na 'i miss you mama' ngoma bora kuwahi kutokra kwenye historia ya bongo fleva.

Radio Mawingu waliweza kumpa support ya kufa raia hadi akatamba bongo mwishoni mwa mwaka jana na mwaka huu mwanzoni 2018/2019 lakini saivi mambo yanaanza kwenda kombo.

WCB WAHUSIKAAA.

Inasemekana kwamba miongoni mwa sababu kuu za kuzimwa na radio Mawingu basi Wasafi media inahusika kutokana na uhasama uliopo haina ya Mawingu na WCB.

Baada ya Hanstone kuonekana pamoja na CEO wa WCB Diamond platnumz na baadhi ya mamaeneja wake ikadaiwa kwamba msanii Huyo anaweza akasajiliwa na Wasafi hivyo Mawingu wakaanza kumuweka kando.

CHIBONGE YAHUSIKAA
Baada ya kijana Hugo kutoa kollabo Kali pamoja na Marioo ya Chibonge basi clouds wakakataa kuipa promo hapo nyimbo yenyewe kwa kuwa ni kali ikajipa promo yenyewe.

Ili kumzima Hanstone, Mawingu walikuja na mpango wa remix ambayo ilishirikisha Marioo, Abbah na G. Nako ambayobimepewa nafasi za juu sana kwenye chart yao ya top 20 lakini kiuharisia ngoma hiyo haijaifikia ile ya awali hata nusu.

Wale wanaojua kusoma nyakati naamini mtanielewa, kwa leo niishie hapoView attachment 1156556
Huu n ukwel usiopingika...clouds hua n brand kubwa ila wanajisahau na kujipa umungu watu...
..hua wanatakaga kumtumia msanii watakavyo msanii ukikataa unazimwa ...na tunawajua wasanii wengi wakali ambao clouds imehusika kwa njia moja au nyingine kuwapoteza ... @R.I.p ngwea ukwel kuhusu kifo chako mungu na baadh ya watu wanaujua #R.I.p king zilla mfalme wa salasala pole sana kwa kukufananisha na bishoo bilnenga..
...
...Na hata hivo kinachotaka kumkuta hans stone n kumvuruga sociological apotee
Wanasahau kua mungu ndo anagawa rizk
 
Back
Top Bottom