Clouds wamaliza adhabu ya TCRA warudi hewani kwa mbwembwe!

Hatimaye Clouds Media Group wamemaliza kutumikia adhabu ya kifungo cha siku 7 waliyopewa na TCRA na wamerudi hewani rasmi.

Kinachoendelea sasa luningani ni sherehe ya wafanyakazi baada ya kutoka kifungoni, ni full shangwe.
CCM hoyeeee!

Maendeleo hayana vyama!
Wapigwe ban ya mwezi mzima
 
Hiyo kisaikolojia inaonesha hawakukubaliana na ile adhabu, wanaona walionewa ila wakakosa pakukimbilia, ndio maana leo wanafurahia kutoka jela ya uonevu.
Na hawataweza kukimlilia kwa beberu, hao ni wazawa, shida zao zitatatuliwa na wazawa wenzao.
Hao ni wazalendo.
 
Back
Top Bottom