mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Nilikuwa nikifuatilia kwa umakini kujua kuwa, hawa clouds Media wamepata wapi camera hizi za kurushia matangazo picha bila majibu. kwa ufupi kamela hizi ni hafifu sana na zinakosa mvuto kabisha kuonyesha vitu alisia na kuleta mvuto kwa watu, kama vile tunaovyoona ITV, Channel 10 na Star TV, rangi za picha ni mbaya kupita kiasi, sijui ni tatizo la mwongozaji au utalam wa kuchanganya rangi!!.
Pia nawaomba hawa vijana au watu wazima wa Clouds Team kuiga mifano ya TV nyingine zilizowatangulia jinsi ya kulipoti tukio yaani Live bila chenga kama ilivyo ya SAM Maela wa ITV au kama ilivyokuwa kwa J. Muro. Yaani jinsi ya kuuliza mashwali, jinsi ya kujipanga katika kutoa habari. OK bado wachanga ila changamka ili mwendane na mfumo ya DIGITAL kama inavyohainishwa na mkurugenzi wa Mawasiliano nchini.
Pia nawaomba hawa vijana au watu wazima wa Clouds Team kuiga mifano ya TV nyingine zilizowatangulia jinsi ya kulipoti tukio yaani Live bila chenga kama ilivyo ya SAM Maela wa ITV au kama ilivyokuwa kwa J. Muro. Yaani jinsi ya kuuliza mashwali, jinsi ya kujipanga katika kutoa habari. OK bado wachanga ila changamka ili mwendane na mfumo ya DIGITAL kama inavyohainishwa na mkurugenzi wa Mawasiliano nchini.