Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,271
- 2,401
Kiukweli mnakwama. Tv yenu mbona haina ubora wa sauti kama Tv zingine? Si Dstv si Star Times. Mna mbwembwe nyingi ila hapo mmekwama. Fanyieni kazi hapo.
Picha inaweza kuwa mbaya lakini hakuna kitu kibaya kama audio kuwa mbovu. Mna audio mbovu. Very low. Fanyieni kazi as soon as possible
Picha inaweza kuwa mbaya lakini hakuna kitu kibaya kama audio kuwa mbovu. Mna audio mbovu. Very low. Fanyieni kazi as soon as possible