Angalia AZAM TWO kama wanarusha..sidhani kuna tv kwa sasa ipo safi km hiyoNaangalia sherehe za Uhuru kupitia Clouds TV nashindwa kuelewa jinsi mnavyo rusha matanganzo toka uwanja wa Jamhuri Dodoma.je hamna wapiga picha wenye uwezo wa kurusha tukio halisi kwa wakati badala ya kuganda sehemu moja