Prisoner 46664
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 1,948
- 1,237
Mi kwa upande wangu, vipindi vyote vya clouds venye kuhusu masuala yanayoingiliana na siasa...vyote nimeacha kuvisikiliza..
kuanzia power breakfast mpaka hiyo jahazi..hawa jamaa wamekuwa puppets/ma-ajenti wa chama twawala tu..hawana jipya..
vicheko vyao na hadithi zao ni za kinafiki tu...
kuanzia power breakfast mpaka hiyo jahazi..hawa jamaa wamekuwa puppets/ma-ajenti wa chama twawala tu..hawana jipya..
vicheko vyao na hadithi zao ni za kinafiki tu...