ELIAS MICHAEL MORRIS
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 385
- 298
Kutokana na ugumu wa maisha na mzunguko wa hela kupungua na kupelekea watu kutokua na pesa za kutosha mifukoni kumeibuka na hizi kampeni za FURSA zinazoendeshwa na hawa Clouds, tena wanajinasibu kuwa kutokana na hela kuwa ngumu, hela haipatikani mifukoni, wao wanatoa fursa na kukufanya uzitambue hizo fursa, uzitumie na ujikwamue katika huu mdororo wa uchumi kwa wananchi.
ila wanatoza 10,000 kama ada ya kushiliki hizo semina.
Sasa mi nauliza hivi awa wanatoa fursa au wanatumia fursa? Kama lengo ni kuwasaidia watu wazitambue hizo fursa kwanini wasitoe bure hizo semina?
10,000 kwa mtu asiye na kazi wala mtaji si uonevu huo? Na hivi tatizo kubwa hasa ni kuwa watanzania hawazijui fursa au watanzania wanazijua hizo fursa ila hawana mitaji ya kuwafanya wazitumie hizo fursa?
ila wanatoza 10,000 kama ada ya kushiliki hizo semina.
Sasa mi nauliza hivi awa wanatoa fursa au wanatumia fursa? Kama lengo ni kuwasaidia watu wazitambue hizo fursa kwanini wasitoe bure hizo semina?
10,000 kwa mtu asiye na kazi wala mtaji si uonevu huo? Na hivi tatizo kubwa hasa ni kuwa watanzania hawazijui fursa au watanzania wanazijua hizo fursa ila hawana mitaji ya kuwafanya wazitumie hizo fursa?