Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,497
- 17,372
Hawa nao si ndio wale wale....???
Mapunga kibao ukipunga na wewe punga....
Mapunga kibao ukipunga na wewe punga....
Wanajamvi
Kutokana na kashfa kadhaa zinazoelekezwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Daresalaam Paul Makonda ningeshauri katika kujibu kashfa namba moja ya cheti cha form four inayomkabili Mkuu wa Mkoa wa Daresalaam ni bora angeitwa yule Paul Christian Makonda mtangazaji wa kituo fulani mjini Tabora anaesemekana cheti chake ndicho anachotumia Paul Makonda yaani Mkuu wa Mkoa wa Daresalaam, wote walete original form four certificates zao wazianike tuone ukweli na tuone majina yapi yanatokea katika hizo original certificates kama wanazo, Najua kama ni kweli basi mmoja wao hatakua na hiyo original na aeleze iko wapi na alionayo aseme ameitoa wapi