lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,147
- 2,617
Mimi mpenzi wa Clouds Power Breakfast, Leo Tena sisikilizi na XXL. Naruka kwa kina Gadna siku inaishia. Walikuwa na bifu na Diamond Platnumz hawachezi nyimbo wala kutaja jina lake. Naona wanalitaja kwa kasi now, mpaka Mwijaku.
Je, Kusaga aliwapatanisha?
Je, Kusaga aliwapatanisha?