Clouds Media wamesimama wapi katika hili la Escrow?

Jile79

JF-Expert Member
May 28, 2009
17,668
13,236
Hivi hawa jamaa wanakuwaga upande gani linapotokea sakata kama hili la escrow?

Maana wamekuwa wakitumiwa na CCM kubeza hoja thabiti za upinzani.

Usikute wakaanza kulaumu UKAWA
 
me nilishawazoea ni mambulula sana..mwanzoni walikua wanamkandia sana kafulila alivoibua hii hoja ghafla juzi baada ya kuona upepo cyo mzuri wanaanza kujifanya wanaponda escrow..ni wanafikia mpaka basi hawa clouds
 
Ila kidogo naona wanajituma kuwaumbua mafisadi. Hata Hando mzee wa kujipendekeza jana aliwananga sana mafisadi. Na jioni waliweka bunge na kurusha ripoti yote ya PAC. Labda wamepima maji wameona yana kasi!
 
ile sio redio ni kituo cha matangazo.Wahuni sana wale utasikia uzalendo uzalendo kumbe wanajipitisha kwenye watoto wa wakubwa.
 
Hivi hawa jamaa wanakuwaga upande gani linapotokea sakata kama hili la escrow?

Maana wamekuwa wakitumiwa na CCM kubeza hoja thabiti za upinzani.

Usikute wakaanza kulaumu UKAWA

Clouds media ni subsidiary ya tbccm husipoteze mda wako na hao watu
 
Back
Top Bottom