Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Hiyo Content inaweza kuwepo pasipo Redio husika? Bila hao Clouds Media kuwa na hiyo Content ungekuwa unaisikiliza?
Tuwe vibarua au waajiriwa au vyovyote vile, haibadili uwezo wako wa kufikiri...Nadhani wewe pia na huyo jamaa yako ni vibarua wa hapo mawingu, vilaza nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
nalifahamu hilo, ukiona wanakuzingua bora ucheze game kupitia hiyo device unayotumia kusikiliza redioNdo internet hiyo wameweka matangazo, au unafikiri Itune ni nini, ni app inayotumia data
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajitambui huyo na poor reasoning zake
Ok... zima basi redio usikilize content....
Ya ajabu mno... au la ameamua kujitoa akiliReasoning yake imenishtua na kunishangaza sana Mdau.
Si umeshahamia redio ya jirani...!! MBONA POVU BADO..!??Nazidi kukuona zuzu! Ukizima sauti kuna kusikiliza tena, ndo maana mmetujazia matangazo tusikilize
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Content inaweza kuwepo pasipo Redio husika? Bila hao Clouds Media kuwa na hiyo Content ungekuwa unaisikiliza?
Wasikilizaji wa kwanza ni wananchi wa Tanzania walioko Tanzania, the rest watafuata....Ndo maana na ninyi hapo studio, wooote mmekaa mnamsikiliza mteja wenu Dr. Mwaka, mnashindwa kuwapa huduma wasikilizaji wenu waliopo nje ya nchi kusikiliza content hiyo, mmewapa matangazo.
Angekuwepo Ruge angewapa adhabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana na ninyi hapo studio, wooote mmekaa mnamsikiliza mteja wenu Dr. Mwaka, mnashindwa kuwapa huduma wasikilizaji wenu waliopo nje ya nchi kusikiliza content hiyo, mmewapa matangazo.
Angekuwepo Ruge angewapa adhabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasikilizaji wa kwanza ni wananchi wa Tanzania walioko Tanzania, the rest watafuata....
Na kwa kawaida, MTU ANAPOZIDI KUELEZEA JAMBO ASILOLIJUA, NDO ANAZIDI KUJIONYESHA KWA KIASI GANI HALIJUI JAMBO ANALOLIELEZEAUmethibitishiwa na nani pasi na shaka kuwa Mzukulu Mimi ni Staff wa Clouds Media Group? Kumbe Mtu akiwa anatetea Taasisi fulani basi Kwako Wewe Mvivu wa Fikra unamaanisha kuwa nae ni Mfanyakazi wa hapo? Ushauri wangu Kwako ni kwamba jaribu Kuufanyia Kazi haraka mno uwezo wako wa Kufikiri na Kujenga Hoja kwani ni mdogo sana na hapa unajichoresha tu huku wenye Akili wakiwa Wanakusanifu tu.
Hongera
Ukiwatukana hivyo Pumbavu sana kama ulivyowaambia hapa ndiyo itasaidia Kutatua tatizo lako? Kwani hao Clouds Media huwa wanatulazimisha Watu tuwasikilize au ni Sisi wenyewe tu kwa Utashi wetu binafsi ndiyo huwa tunawasikiliza? Hivi Tanzania nzima Redio ya Kusikiliza ni hiyo hiyo ya Clouds fm? Na ukisema kuwa Clouds Media wanapenda Umbea unakosea bali ukweli ni kwamba kila Binadamu ni mbea kwa Kiwango chake na usisahau Maisha ya Mwanadamu yoyote yule hayaendi bila mambo makuu mawili ambayo ni Umbea na Unafiki.
Watanzania wenyewe wanapenda umbeyaYaani tunaosikiliza redio kupitia itune mmetuwekea matangazo mmesahau kabisa kutuunganisha na live fm wote hadi mafundi mitambo mmeungana kusikiliza udaku wa Dk.Mwaka na wake zake hadi mmesahau kazi yenu ya msingi, pumbavu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana mkuu ila ndo aina ya radio stations tulizonazo na ndo aina ya watangazaji.tuliona nao, wengi wao wana upeo wa kawaida sana kuweza kualika academic interllectuals na kuweza kufanya mijadala yenye mashiko na faida kwa jamii. so uwahurumie tu. pili hata huyo wanayemhoji professionally ni herbalist ila kwa kuwa kila mtu anajuwa kucheza na low IQ za wasikilizaji wa hizi stations basi maisha yanaenda. usiwatukane mkuu wewe switch to other channels. wajinga ndiyo waliwaoYaani tunaosikiliza redio kupitia itune mmetuwekea matangazo mmesahau kabisa kutuunganisha na live fm wote hadi mafundi mitambo mmeungana kusikiliza udaku wa Dk.Mwaka na wake zake hadi mmesahau kazi yenu ya msingi, pumbavu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani tunaosikiliza redio kupitia itune mmetuwekea matangazo mmesahau kabisa kutuunganisha na live fm wote hadi mafundi mitambo mmeungana kusikiliza udaku wa Dk.Mwaka na wake zake hadi mmesahau kazi yenu ya msingi
Sent using Jamii Forums mobile app