Clouds Media Group walia na ugumu wa biashara, Kusaga adai wanaweza kufunga hali ikiendelea hivi

Hii inasikitisha, mamlaka liliangalie upya suala hili, wasione aibu kushindwa ikiwa ni kwa manufaa ya wengi.
 
mfano mwingine ni bongo star search, swala la local channels pia imesababisha show hiii kukosa ule u maaarufu wake wa miaka ile, watu hawaioni wala nn wanafanya mambo mengine
 
KADRI MUDA UNAVYOKWENDA MAMBO YANAKUWA BANKRUPT KABISA KIUCHUMI TUNA SHUKA SIO KUPANDA NA NI TATIZO SANA ANGALIA NCH NYING SANA ZENYE KUMINYA MAMBO MWISHO WA SIKU WATU WANACHOKA NA KUZAMA FRONT
Nchi hii hata wakisema wanaume wote wapewe mimba ...mtanung'unika mtandaoni kama hivi na mimba mtabeba..hakuna mwanaume wa kuingia front! ndiyo maana nimepata mzuka wa kugombea urais 2030
 
Hilo lipo wazi....biashara ya tv bongo imekua ngumu sana......wanawekewa masharti kuliko hata yake ya mganga wa kienyeji

Shida ya watu wasio na akili ukawapa mamlaka..........
walifanya hay bila kuangalia athari za kiuchumi kiujumla.....

Vitu vinavyofanywa utafikiri ni Housegirl aliyempindua mama mwenye nyumba...........
 
Watanzania tumezoea copy & pest sheria wanazotunga wenzetu
Sasa hi sheria ya ving'amuzi TCRA walikosa pa Ku copy & pest wakatunga wenyewe matokea yake ndio haya wameleta sera ambayo haina kichwa hata miguu
Mimi binafsi kila wakiielezea hi sheria yao huwaga sielewi
Lakini mwisho wa siku TCRA wanatunga sheria kwa manufaa ya wananchi sasa kama wananchi haina manufaa kwao kwani wao hawataki kuibadilisha
 
TCRA sijui walikuwa wanawashwa na nini, sisi watazamaji hatujawahi kulalamika

Wananchi wengi tu walikuwa wanalalamika kuhusu kulipia 'local channel' wakati walitangaziwa kuwa 'local channel' ni bure ingawa jinsi tatizo lilivyotatuliwa sijakubaliana nao.Kuna haja kweli ya kukaa tena kati ya TCRA na hao wenye ving'amuzi kuona njia nzuri inayoweza kufanyika mtazamaji na mtoa huduma wote wakafaidika.
 
Hawa ndio wale wasifiaji wakubwa, kuna wakati waliwahi hata kumuandalia Kikwete 'birthday party' pale ikulu. Na lilipokuja lile wimbi la kusifu,kuabudu,kuimba mapambio na kuunga mkono juhudi, pia walikuwa mstari wa mbele. Sasa hamna namna,wapunguze hizo ajira na ikiwezekana wafunge biashara kabisa. Haya majitu ni majinga na manafiki. Funzo; hata kama wewe ni tajiri na unaajiri watu, jifunze kupenda haki,kemea maovu, leo kwetu kesho kwako! Bwege wewe!
 
Hivi hii local channel ndiyo nini?
Mwenzio ccm kindakindaki Imhotep ameshaihama ccm sasa, bado wewe Mudawote soon. Na wengine wengi tu hapa wamepooza sio kama zamani walivyokuwa wanaitetea ccm.

Moto unachoma balaa, salama ya moto kwa sasa ni kwa jiwe pekee labda na mkuu wa wilaya maarufu kuliko mawaziri, yaani Kisarawe moja-Jokate
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom