Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pascal Mayalla naye analia kiongozi anawaza kujenga tuuBosi wa Clouds Media amesema tangu kutokea changamoto ya local channels kuondolewa kwenye ving'amuzi vyombo vya habari hivo vimeathirika kwa kiwango kikubwa na hapo wanapenda kutoa ajira kwa vijana lakini wanakoelekea watakwama na kupunguza wafanyakazi.
Kusaga" wakati kupo kwenye ving'amuzi vyote zuku, startimes, Azam na DStv mfano makampuni Kama Vodacom, Tigo na Airtel walikuwa wanaona views milioni 1 wanakulipa fungu zuri kutokana na idadi kubwa ya watazamaji, lakini kwa sasa views wameshuka Hadi laki moja kwaiyo makampuni hayo yamekata bajeti zao na kukulipa kuligana na idadi ya watazamaji na huwezi kuwalaumu hata Kama wanakupenda lakini wanakulipa unachostahili Sasa kwa Hali hii wafanyakazi Hawa vijana wanafamilia tutawalipa vipi?
Maana yake hatuwezi kufika inabidi tuwapunguze japo tunawapenda". Kuna haha la kuniangalia upya suala hili.
Kusaga ameongeza hata wasanii wameathirika hawapati tena show nje kwakuwa hawaonekani Tena Kama zamani
View attachment 957913
Hivi hii local channel ndiyo nini?Bosi wa Clouds Media amesema tangu kutokea changamoto ya local channels kuondolewa kwenye ving'amuzi vyombo vya habari hivo vimeathirika kwa kiwango kikubwa na hapo wanapenda kutoa ajira kwa vijana lakini wanakoelekea watakwama na kupunguza wafanyakazi.
Kusaga" wakati kupo kwenye ving'amuzi vyote zuku, startimes, Azam na DStv mfano makampuni Kama Vodacom, Tigo na Airtel walikuwa wanaona views milioni 1 wanakulipa fungu zuri kutokana na idadi kubwa ya watazamaji, lakini kwa sasa views wameshuka Hadi laki moja kwaiyo makampuni hayo yamekata bajeti zao na kukulipa kuligana na idadi ya watazamaji na huwezi kuwalaumu hata Kama wanakupenda lakini wanakulipa unachostahili Sasa kwa Hali hii wafanyakazi Hawa vijana wanafamilia tutawalipa vipi?
Maana yake hatuwezi kufika inabidi tuwapunguze japo tunawapenda". Kuna haha la kuniangalia upya suala hili.
Kusaga ameongeza hata wasanii wameathirika hawapati tena show nje kwakuwa hawaonekani Tena Kama zamani
View attachment 957913
CCM mbele kwa mbele. Wameipenda wenyewe ...........hatunywi sumu,hatujinyongi.
umehamia chama gani mkuu?Nimeshasema tena na tena kuwa nimekihama Chama Cha Mapinduzi kwa ridhaa yangu bila ya kununuliwa au kuhongwa na mtu yeyote.
Cha moto tunakiona!hatunywi sumu,hatujinyongi.
Mchumi asiyejua kwa nini nchi (wananchi) ni maskini? Ni urembo, tu kuwa nae kafika chuo kikuu.Kilicho msaidia Kikwete japo kidogo ni kabachelor degree kake kauchumi,akawa anaheshimu misingi na miiko ya kiuchumi.
Ni rahisi tu mkuu,nikama vile unavyoona idadi ya viewers unapoweka status ya Whatsap.wanatambuaje idadi ya viewers kwenye television? sina utalaam wowote kwa haya mambo, nielimishwe.
Mkuu wacha kuzunguka, sababu ni hiiWafunge tu coz hali imebadilika sana. Online tv zimekuwa nyingi mno,blogs, forums na vikorokoro kibao. Wakati huu unahitaji ubunifu wa hali ya juu sio mazoea. Zamani Radio kubwa zilikua Radio one, RFA, RTD. Leo hii kila kona kuna Radio na zinakimbiza. Tukubali hali imechange sana na TUKUBALI KUBADILIKA.
Huu ndio ukweli.sababu inajulikana na inahusiana moja kwa moja na aina ya utawala uliopo madarakani hivi sasa nchini.
Lakini Kikwete akutufikisha adi kushindia maembe kama mlo wa mchanaMchumi asiyejua kwa nini nchi (wananchi) ni maskini? Ni urembo, tu kuwa nae kafika chuo kikuu.
JF wenyewe wjnalipwa kulingana na watu walioma tangazo.wanatambuaje idadi ya viewers kwenye television? sina utalaam wowote kwa haya mambo, nielimishwe.
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.umehamia chama gani mkuu?
Wangapi wanaangalia online TV kwa bei hizi za bado?Wafunge tu coz hali imebadilika sana. Online tv zimekuwa nyingi mno,blogs, forums na vikorokoro kibao. Wakati huu unahitaji ubunifu wa hali ya juu sio mazoea. Zamani Radio kubwa zilikua Radio one, RFA, RTD. Leo hii kila kona kuna Radio na zinakimbiza. Tukubali hali imechange sana na TUKUBALI KUBADILIKA.
Humu kuna watu hawaeleweki kama sigara Kali.
Mh CCM BChama Cha Demokrasia na Maendeleo.