Clouds Media Group walia na ugumu wa biashara, Kusaga adai wanaweza kufunga hali ikiendelea hivi

Naona mambo yamekuwa kinyume

Tulisema tukasemwa, sasa ni zamu ya waliokuwa wakitusema kusema wao.

Huu wimbo hauhitaji hasira!

Baada ya hawa waliokuwa wakisifu kuanza kuguswa na hali mbaya ya kiuchumi, serikali ndio itaanza kulalamika kwamba nchi haina fedha.

Tukishanywea wote serikali itaanza kuhaha maana watu wanafunga mabiashara, wawekezaji wanatoroka na wengine kuondoka waziwazi, watu wanapunguzwa kazini na wahisani wanakata mirija

Huu wimbo tulianza kuimba wakatukebehi na vitisho juu.
Zamu ya vibendera na vichumia tumbo ndio imefika ya wao kuimba,,,,,zamu inayokuja ni ya serikali kuweka wazi kwamba mambo yameenda kombo

Ushamba ni mzigo sana hasa ushamba unapochanganyikana na jeuri na ulimbukeni

Bado kitambo kidogo kila mtu ataimba kwa ufasaha
 
kuna watu wawili pale clouds fm/tv, nilikuwa nawafatilia sana miaka mitatu/minne iliyopita. watu hawa ni hassan ngoma na ephraim kibonde.

kuna wakati hawa jamaa walikuwa ni vinara wa kutetea kila upuuzi unaofanywa na serikali. je bado wanaendelea?.nimeuliza tu.
 
"na ya yafunge tu, haya maclouds yalikuwa ni majizi, yametuibia sana". in jpm voice.
 
Hapo kwa wasanii na clouds naona sawa tu maana kipindi cha kampeni za ucgaguzi huwa hamtuelewi.
Bosi wa Clouds Media amesema tangu kutokea changamoto ya local channels kuondolewa kwenye ving'amuzi vyombo vya habari hivo vimeathirika kwa kiwango kikubwa na happy wanapenda kutoa ajira kwa vijana lakini wanakoelekea watakwama na kupunguza wafanyakazi.

Kusaga" wakati kupo kwenye ving'amuzi vyote zuku, startimes, Azam na DStv mfano makampuni Kama Vodacom, Tigo na Airtel walikuwa wanaona views milioni 1 wanakulipa fungu zuri kutokana na idadi kubwa ya watazamaji, lakini kwa sasa views wameshuka Hadi laki moja kwaiyo makampuni hayo yamekata bajeti zao na kukulipa kuligana na idadi ya watazamaji na huwezi kuwalaumu hata Kama wanakupenda lakini wanakulipa unachostahili Sasa kwa Hali hii wafanyakazi Hawa vijana wanafamilia tutawalipa vipi?

Maana yake hatuwezi kufika inabidi tuwapunguze japo tunawapenda". Kuna haha la kuniangalia upya suala hili
Kusaga ameongeza hata wasanii wameathirika hawapati tena show nje kwakuwa hawaonekani Tena Kama zamani
View attachment 957913
 
wanatambuaje idadi ya viewers kwenye television? sina utalaam wowote kwa haya mambo, nielimishwe.
Nadha
Nadhani wanaangalia uwiano Wa wawatumiaji Wa visambuzi..kwamfano azam wanajua idadi ya vigamuzi wwalivyouza,star times pia
 
Wafunge tu coz hali imebadilika sana. Online tv zimekuwa nyingi mno,blogs, forums na vikorokoro kibao. Wakati huu unahitaji ubunifu wa hali ya juu sio mazoea. Zamani Radio kubwa zilikua Radio one, RFA, RTD. Leo hii kila kona kuna Radio na zinakimbiza. Tukubali hali imechange sana na TUKUBALI KUBADILIKA.
Hivi vijisababu mnavyoviokoteza vya kujifariji mtaenda navyo hadi kaburini! Wenzio akina johnthebaptist imhotep cocochanel etc wameshtuka!! Hawapo tayari kuendelea kuubeba huu mzoga kichwani huku mzoga wenyewe umeanza kuoza! Nyie makuruta ndiyo mmeachiwa huo msala!
 
Bosi wa Clouds Media amesema tangu kutokea changamoto ya local channels kuondolewa kwenye ving'amuzi vyombo vya habari hivo vimeathirika kwa kiwango kikubwa na happy wanapenda kutoa ajira kwa vijana lakini wanakoelekea watakwama na kupunguza wafanyakazi.

Kusaga" wakati kupo kwenye ving'amuzi vyote zuku, startimes, Azam na DStv mfano makampuni Kama Vodacom, Tigo na Airtel walikuwa wanaona views milioni 1 wanakulipa fungu zuri kutokana na idadi kubwa ya watazamaji, lakini kwa sasa views wameshuka Hadi laki moja kwaiyo makampuni hayo yamekata bajeti zao na kukulipa kuligana na idadi ya watazamaji na huwezi kuwalaumu hata Kama wanakupenda lakini wanakulipa unachostahili Sasa kwa Hali hii wafanyakazi Hawa vijana wanafamilia tutawalipa vipi?

Maana yake hatuwezi kufika inabidi tuwapunguze japo tunawapenda". Kuna haha la kuniangalia upya suala hili
Kusaga ameongeza hata wasanii wameathirika hawapati tena show nje kwakuwa hawaonekani Tena Kama zamani
View attachment 957913
Ni kweli Mimi mwenyewe kuangalia Clouds TV kwa mara ya mwisho nafikiri ilikuwa kabla hawajaiondoa kwenye dikoda ya Azam. Hata channel zingine naziangalia kupitia you tube. Waombe mamlaka zibadili maamuzi vinginevyo watakufa njaa
 
Baada ya kuzima channel za local kwenye ving'amuzi sijalipia tena mpaka leo na sijawahi kuwasha tena labda wazirudishe tena......Serikali wakitaka kufanya mambo yao wafikirie kwenye pande zote pros and cons kisha wapime madhara ni yapi? wakiona cons ni nyingi inabidi wasitishe zoezi,,,,Tatizo huyo jamaa yetu mwenye Phd ya makemikali na maganda ya korosho hana ABCs zozote za uchumi hata micro economy hana basics unafikiri nchi utaendeshaje? Na hata wachumi hasikilizi ushauri wao,wengi wakimshauri anawatumbua,rejea yule jamaa wa Bank alimshauri cons kuhusu kuhamisha fedha zote kwenye mabank na kupeleka BOT kesho yake akamtumbua.
 
Back
Top Bottom