Clouds Media Group walia na ugumu wa biashara, Kusaga adai wanaweza kufunga hali ikiendelea hivi

Wafunge tu coz hali imebadilika sana. Online tv zimekuwa nyingi mno,blogs, forums na vikorokoro kibao. Wakati huu unahitaji ubunifu wa hali ya juu sio mazoea. Zamani Radio kubwa zilikua Radio one, RFA, RTD. Leo hii kila kona kuna Radio na zinakimbiza. Tukubali hali imechange sana na TUKUBALI KUBADILIKA.
sababu zako wala hazihusiani na kuathirika kwa biashara ya television nchini.

bado mainstream media ina nguvu sana... online tv na blogs sio sababu.

sababu inajulikana na inahusiana moja kwa moja na aina ya utawala uliopo madarakani hivi sasa nchini.
 
Wafunge tu coz hali imebadilika sana. Online tv zimekuwa nyingi mno,blogs, forums na vikorokoro kibao. Wakati huu unahitaji ubunifu wa hali ya juu sio mazoea. Zamani Radio kubwa zilikua Radio one, RFA, RTD. Leo hii kila kona kuna Radio na zinakimbiza. Tukubali hali imechange sana na TUKUBALI KUBADILIKA.
Bado online TV kwa Tanzania si tishio' hatuna intenet ya uhakika, na kwa gharama za Internet mtu kutegemea online TV si rahisi. Nafikiri kuna tatizo kwenye sekta ya biashara kiasi kwamba wenye stations hawapati matangazo na wadhamini. Sekta za Biashara Zinategemeana sana ni kama mwili wa binadamu tu' ukiumwa na jino sana ujue utahisi na masikio yanauma, baadae utahisi kichwa pia Kinauma, baadae utahisi hata macho hayapo sawa ukiyafungua, mwisho kizunguzungu then mwili mzima Hoi.
 
Back
Top Bottom