Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
Mwenendo wa dunia bado upo katika tahadhari dhidi ya Corona. Viongozi wa siasa, serikali na dini bado wanatuhimiza tuchukue tahadhari
Kwetu Tanzania madhara sio makubwa sana Kama wenzetu tunavyoona. Na hapa kwa kweli nitamsema vibaya kwa vingine ila kwa swala la corona kongore ni kwa hayati Magufuri na vyombo vyake vya usalama na viongozi serikalini
Tunafahamu hata wao wenyewe walipingana ila hadi tulipo hapa basi pongezi kwa wote
Tukirudi kwenye mada, juzi tarehe 24.04.2021 clouds media group walikuwa na ugawaji tuzo za Malkia wa nguvu.
Katika tukio lile hapakuwa na tahadhari zozote dhidi ya corona
Watu walishikana mikono, walibadilishana mic, walikumbatiana na Mambo kadha wa kadha
Tunapokuwa na matukio Kama yale tusijisahau sana. Tutambue dunia inatutazama. Tusijichore kwa picha ya watu tusio jali.
Kwetu Tanzania madhara sio makubwa sana Kama wenzetu tunavyoona. Na hapa kwa kweli nitamsema vibaya kwa vingine ila kwa swala la corona kongore ni kwa hayati Magufuri na vyombo vyake vya usalama na viongozi serikalini
Tunafahamu hata wao wenyewe walipingana ila hadi tulipo hapa basi pongezi kwa wote
Tukirudi kwenye mada, juzi tarehe 24.04.2021 clouds media group walikuwa na ugawaji tuzo za Malkia wa nguvu.
Katika tukio lile hapakuwa na tahadhari zozote dhidi ya corona
Watu walishikana mikono, walibadilishana mic, walikumbatiana na Mambo kadha wa kadha
Tunapokuwa na matukio Kama yale tusijisahau sana. Tutambue dunia inatutazama. Tusijichore kwa picha ya watu tusio jali.