Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
nasikiliza kipindi cha AMPLIFAYA hapa, sasa ni dakika ya 23, ni dakika 2 tu ndiyo kuna hizo habari za top 10. Yaani ni matangazo tu muda wote. Hawana hata ile kwamba sasa ni matangazo na baadaye ni habari, wao ni matangazo tu. Ni hivyohivyo toka kile kipindi cha Kibonde. Inaboa kweli.
Hata wangeweka basi walau nusu kwa kwa nusu [ which is still higher than normal accepted standards ] wao nadhani ni 75% matangazo.
Hata wangeweka basi walau nusu kwa kwa nusu [ which is still higher than normal accepted standards ] wao nadhani ni 75% matangazo.