SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,068
Siku hiyo nilikuwa Kawe,Nilichanganya aisee. Ahsante Mkuu
Siku hiyo nilikuwa Kawe,Nilichanganya aisee. Ahsante Mkuu
So???Bashite ndo mwenykiti wa ulinzi wa mkoa,
AGH wiliiam mbona unatumia ID ya kike?au ndo .......???Huyo uliemtaja ni nani?
yule editor/cameraman wake nayesafirigi naye ali edit akachanganya wide and long shot aka fake sauti na kupost you tube eti bashite aliashangiliwa baada ya kusema"weka mkono mmoja juu sema asante Mungu kwa kutupa rais magufuli"kwa unayejua mambo ya editing unagundua u feki waliofanya,jamaa alizomewa aisee,aliwatibua watu walioenda pale kutoa stressNamshauri asiende maana watamzomea kama walivyomfanyia tamasha la Efm. Bora atulie tu asije akang'ang'aniza mambo akahadhirika.
Kibali atoi bashite sema ataleta fitna kua mwenyekiti sio ndo ye atakua anaweka ulinzi sema umri wake ndo unamfanya awe ivo kwan miaka yote akukua na wakuu wa mikoa tatizo ngekewa inamsumbua cheo kikubwa kuliko anaekimilikiWakumbuke tu Makonda ndiyo Mwenye Mkoa wake na ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na usalama ya Mkoa tukipata taarifa zetu za kiinteligesia mnaweza kuifanyia hiyo Fiesta yenu Mkoa wa Pwani siyo Dar Es Salaam [HASHTAG]#WashambaHatujaribiwi[/HASHTAG]
Bwana ako wewe na Lemtumbozz.Huyo uliemtaja ni nani?
Ana jinsia mbili Mkuu.AGH wiliiam mbona unatumia ID ya kike?au ndo .......???
AGH wiliiam mbona unatumia ID ya kike?au ndo .......???
Bwana ako wewe na Lemtumbozz.
Shangazi ahsante kwa taarifa.Tetesi kuwa bifu huenda likafika mbali kwani clouds safari hii wamewapa ugeni rasmi wakuu wote wa mikoa inakofanyika kasoro mkuu wa Dar.. Tetesi ni kuwa fiesta Dar mgeni rasmi atakuwa mchungaji moja atakaezindua usafiri wake binafsi mpya wa angani.
Huyo uliemtaja ni nani?