Mimi pia nilishaunganisha dots nikajipatia jibu languHuyu si ndie aliyembebelezwa kule bukoba ama?
Sio jina tuExtra extra large (kubwa kuliko)
Hata hivyo hilo jina wamelikwapua katika magazine Fulani hivi toka USA
Jitahidi usijidanganye kwamba unawajua watu kwa taarifa za udakuHatimaye wapendanao wanaungana kwa ukaribu zaidi.
Unateseka?Jitahidi usijidanganye kwamba unawajua watu kwa taarifa za udaku
😂😂 Nawaza tu wake wenza watawezaje kuishi nyumba moja, hivi andunje anamchukuliaje binti wa watu yule?Huyu si ndie aliyembebelezwa kule bukoba ama?
😂😂 Nawaza tu wake wenza watawezaje kuishi nyumba moja, hivi andunje anamchukuliaje binti wa watu yule?
Mji mzito huu.Maisha haya 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kenedy bado anakua Mkuu, kikubwa muda Tu ukifika yote yatakua HistoriaUko sahihi kabisa kwa maono yako,,lakini nna wasiwasi sana na Kenedy dawa kwenye suala la Kiingredha hasa kuwa'interview wasanii wasiojua Kiswahili,,Kenedy English inamsumbua apparently,, Nilikua nafatilia interview walizowafanyia Mr.Eaz,Davido,Kizz Daniel, Skales,nk.wote hao aliyekua anawa'interview zaidi ni Twangala na Mchomvu kwa mbali lakini Kenedy kiukweli alikua kimya na kama akiuliza swali unaona kabisa Lugha anaihangaikia mno,,sasa kama main host on mic number moko inatakiwa wewe ndo uwakaribishe hao wasanii and other stuffs related to such issues,, Namuona Meena Ally sana katika jukumu hili,,lakini pia Kenedy the R'reeeeee hana uwezo wa kuwa'handle,kuwa'manage watangazaji wenzie(on the issue of time management),,Jana2 hapa kashindwa kuwa'control Wakazi,Mawenge na Nikki mbishi hadi time ikaisha na Nikki interview yake haijakamilika,,,,Kwangu udhaifu wa Kenedy ni huo
Wanaijua game inasemajeKuna ambao wanaona Clouds wamekurupuka ila kila kitu kipo planned clouds Ni wachezaji mzuri wa hili game kwahiyo wanajua kila kitu wanachokifanya.
Mkuu huijui Clouds, kuna kitu kinaitwa Clouds na kuna Watangazaji wa Clouds, Kwa heshima na umaarufu wa Clouds hamnaga Kosa kwenye usajili wao, wewe unasema Meena ni mbovu kamsikilize Meena wa XXL ndiyo utamjua ni naniMtangazaji anapotoka media A kwenda B huwa anahama na baadhi ya wasikilizaji wake watiifu, Hilo ndio pengo lenyewe. Ukiniambia hajaacha pengo nitakwambia NO! Kaacha pengo Mawingu pale. Kuna wakati unaweza kufanya usajili mbovu ukapunguza wasikilizaji fulani. Moja ya sajili zilizokuwa mbovu ni Meena Ally kwenda Amplifaya kipindi cha nyuma.
Huyo Dozen pia ngeli haiwezi,anaungaunga tu..Ngeli ni Sam Misago..Meena pia yupo vizuri..Uko sahihi kabisa kwa maono yako,,lakini nna wasiwasi sana na Kenedy dawa kwenye suala la Kiingredha hasa kuwa'interview wasanii wasiojua Kiswahili,,Kenedy English inamsumbua apparently,, Nilikua nafatilia interview walizowafanyia Mr.Eaz,Davido,Kizz Daniel, Skales,nk.wote hao aliyekua anawa'interview zaidi ni Twangala na Mchomvu kwa mbali lakini Kenedy kiukweli alikua kimya na kama akiuliza swali unaona kabisa Lugha anaihangaikia mno,,sasa kama main host on mic number moko inatakiwa wewe ndo uwakaribishe hao wasanii and other stuffs related to such issues,, Namuona Meena Ally sana katika jukumu hili,,lakini pia Kenedy the R'reeeeee hana uwezo wa kuwa'handle,kuwa'manage watangazaji wenzie(on the issue of time management),,Jana2 hapa kashindwa kuwa'control Wakazi,Mawenge na Nikki mbishi hadi time ikaisha na Nikki interview yake haijakamilika,,,,Kwangu udhaifu wa Kenedy ni huo
Uko sahihi kabisa kwa maono yako,,lakini nna wasiwasi sana na Kenedy dawa kwenye suala la Kiingredha hasa kuwa'interview wasanii wasiojua Kiswahili,,Kenedy English inamsumbua apparently,, Nilikua nafatilia interview walizowafanyia Mr.Eaz,Davido,Kizz Daniel, Skales,nk.wote hao aliyekua anawa'interview zaidi ni Twangala na Mchomvu kwa mbali lakini Kenedy kiukweli alikua kimya na kama akiuliza swali unaona kabisa Lugha anaihangaikia mno,,sasa kama main host on mic number moko inatakiwa wewe ndo uwakaribishe hao wasanii and other stuffs related to such issues,, Namuona Meena Ally sana katika jukumu hili,,lakini pia Kenedy the R'reeeeee hana uwezo wa kuwa'handle,kuwa'manage watangazaji wenzie(on the issue of time management),,Jana2 hapa kashindwa kuwa'control Wakazi,Mawenge na Nikki mbishi hadi time ikaisha na Nikki interview yake haijakamilika,,,,Kwangu udhaifu wa Kenedy ni huo