Clouds FM, The Super Brand

Nature abhor the vacuum. Asili haipendi ombwe. Hata industrial dominance ya UK ilipotea Kwa kujiamini kwao. Clouds walipokuwa peak walijisahau wakawa miungu watu. Walitengeneza maadui wengi hasa wasanii,enzi za kutishia kutopiga nyimbo za wasanii zimekwisha. Maendeleo ya technology yanawaumbua.
 
Hakuna kitu kama hicho lete hizo takwimu kama nilivyoleta mimi na wewe fanya hivyo
Cheki
IMG_20181125_083552.jpeg
 
Tukumbuke wasafi redio au TV lazima itatafuta watangazaji sio diamond mnayemshabikia atakaye kaa kwenye mic.

Kwenye radio au TV tunafata content sio jina LA mmiliki
 
Kusema tu ukweli clouds wapo vzur kuliko redio nying hapa bongo, ukiachilia mbali sifa alizowamwagia muanzisha uzi lakn clouds kwenye suala la promo kwa Tanzania hawana mpinzani. Jamaa wanaweza kusifia mpaka mavi na ukayala dah wale watu balaa.
Ukiwa kichaa labda
 
saivi ni 2018 na inaelekea mwishoni, hizo takwim zako za 2017 huko
Za mwaka huu zitatoka soon maana wana generalize takwimu za mwaka mzima na kupanga nani anaongoza ndiyo maana huyo mwingine alizoweka ni za mwezi mmoja na za Dar es Salaam tu, ukitaka za mwaka mzima uwa zinatoka za overall Tz hivyo subiri tu zitatoka mwaka ukiisha
 
Za mwaka huu zitatoka soon maana wana generalize takwimu za mwaka mzima na kupanga nani anaongoza ndiyo maana huyo mwingine alizoweka ni za mwezi mmoja na za Dar es Salaam tu, ukitaka za mwaka mzima uwa zinatoka za overall Tz hivyo subiri tu zitatoka mwaka ukiisha
Nimekuelewa mkuu.
Unajua hapa kwnye hii thread kumejaa ushabiki mwingi, lakini uhalisia upo. Na uhalisia wenyewe ni kwamba Clouds still hawajapata mpinzani wa kweli., ukiondoa zile kasoro ambazo wanalalamikiwa kwa miaka kadhaa lkn kwenye content hawana mpinzani wa kweli. Jamaa wana vipindi vizuri mno, lakini pia wamevipangilia vizuri sana..watangazaji wao wengi wana vipaji vya kweli sio wazugaji, kwa hali hiyo clouds hawawezi kushushwa kizembe kwa kiki za muda mfupi.

Mfano mimi, nilikua #1 fan wa clouds..haikuwah kupita siku sijasikiliza xxl, Amplifaya na Sports extra. Zile kasoro zao chache (ukabila, migogoro isiyoisha na wasanii, shutuma za unyonyaji nk) Vikanikimbiza. Mpaka leo Sijawahi kupata radio mbadala yenye package kama Clouds..wengi wanajaribu lkn hawafanyi kweli.

Pamoja na hayo yote sijafikia hatua ya kuamini kwamba Wasafi FM ni mbadala wa Clouds(kwa sasa, labda tuwape mda). Ni fursa kwao kuangalia yale mapungufu ya Clouds na wayafanyie kazi..kwenye yale mazuri wafanye zaidi. Kuna mdau hapo juu amesema mwisho wa siku wasafi fm watakua na watangazaji, radio zitapimanishwa kwa kuwaangalia wao na sio kiki za (wamiliki) wao plus uzuri wa vipind na mpangilio wake. Pia usikivu wke hata huku interior, that's the only way kufight clouds sio hizi kelele za kupita.

Clouds nao wanayo nafasi ya kuangalia ni wapi wamejikwaa na wakarudi waendeleze ufalme wao mana bado hawa (wapinzani) wako wako too slow.
 
Nimekuelewa mkuu.
Unajua hapa kwnye hii thread kumejaa ushabiki mwingi, lakini uhalisia upo. Na uhalisia wenyewe ni kwamba Clouds still hawajapata mpinzani wa kweli., ukiondoa zile kasoro ambazo wanalalamikiwa kwa miaka kadhaa lkn kwenye content hawana mpinzani wa kweli. Jamaa wana vipindi vizuri mno, lakini pia wamevipangilia vizuri sana..watangazaji wao wengi wana vipaji vya kweli sio wazugaji, kwa hali hiyo clouds hawawezi kushushwa kizembe kwa kiki za muda mfupi.

Mfano mimi, nilikua #1 fan wa clouds..haikuwah kupita siku sijasikiliza xxl, Amplifaya na Sports extra. Zile kasoro zao chache (ukabila, migogoro isiyoisha na wasanii, shutuma za unyonyaji nk) Vikanikimbiza. Mpaka leo Sijawahi kupata radio mbadala yenye package kama Clouds..wengi wanajaribu lkn hawafanyi kweli.

Pamoja na hayo yote sijafikia hatua ya kuamini kwamba Wasafi FM ni mbadala wa Clouds(kwa sasa, labda tuwape mda). Ni fursa kwao kuangalia yale mapungufu ya Clouds na wayafanyie kazi..kwenye yale mazuri wafanye zaidi. Kuna mdau hapo juu amesema mwisho wa siku wasafi fm watakua na watangazaji, radio zitapimanishwa kwa kuwaangalia wao na sio kiki za (wamiliki) wao plus uzuri wa vipind na mpangilio wake. Pia usikivu wke hata huku interior, that's the only way kufight clouds sio hizi kelele za kupita.

Clouds nao wanayo nafasi ya kuangalia ni wapi wamejikwaa na wakarudi waendeleze ufalme wao mana bado hawa (wapinzani) wako wako too slow.
Umeongea fact mkuu umemaliza yote...
Sema hizi changamoto ni alert kwao hope watabadirika. Wana package nzuri sana na wana watangazaji wazuri sana mfano kipindi cha jahazi yani ni full matangazo lakini unajikuta unasikiliza hadi jinsi wanavyo integrate yale matangazo unavutiwa. Kipindi cha powerbreakfast same kimejaa matangazo lakini kinavutia. XXL karibu kila dakika 15 ni sension yenye tangazo lake, lakini ile ni full package na wanajua ku collaborate.
Mimi uwa napenda kusifia kitu kama kilivyo, kwasasa kuiangusha clouds bado kama kupo siyo faster hivi yani ni sawa useme diamond ataangushwa within a month or two au hata three na msanii yoyote ni kitu ambacho hakiwezekani.
Kuanguka kupo lakini siyo gafla
 
Umenena mkuu, hapa kwenye huu mtifuano wao kuna fursa kwa Wasafi FM kama wakicheza vema. Lakini wakiamua kwenda kwa kiki tuu kama namna wanavoenda tutawasahau mapema tuu, ni kama ambavyo ilikua kwa Kiba na Mond..bifu lilimfaidisha sana mmoja lakini kwa mda mfupi mwisho wa siku akajisahau, dharau na kujisikia kwingi badala ya kutumia hilo bifu kama fursa ya kujijenga ye akawa anaamini kweli yeye ni bora kuliko huyo anaeshindanishwa nae..mwisho wa siku ndo yle yaliyotokea, mara akacheze mpira, mara atoe maboko apost youtube aanze kuyafuta (aibu) ilimrad kutapatapa tuu.Mwisho wa siku wale fans walokuja na upepo (kama hawa wa wasafi fm) wameondoka kwa stly ileile waliyokuja nayo.

Haya pia yanaweza kutokea kwa Wasafi Fm kama wasipokua makini na wakalewa sifa. Wajijenge tuu sio kupotezwa na kelele zetu mashabiki sisi tupo tuu kwa kaz hiyo
Umeongea fact mkuu umemaliza yote...
Sema hizi changamoto ni alert kwao hope watabadirika. Wana package nzuri sana na wana watangazaji wazuri sana mfano kipindi cha jahazi yani ni full matangazo lakini unajikuta unasikiliza hadi jinsi wanavyo integrate yale matangazo unavutiwa. Kipindi cha powerbreakfast same kimejaa matangazo lakini kinavutia. XXL karibu kila dakika 15 ni sension yenye tangazo lake, lakini ile ni full package na wanajua ku collaborate.
Mimi uwa napenda kusifia kitu kama kilivyo, kwasasa kuiangusha clouds bado kama kupo siyo faster hivi yani ni sawa useme diamond ataangushwa within a month or two au hata three na msanii yoyote ni kitu ambacho hakiwezekani.
Kuanguka kupo lakini siyo gafla
 
Umenena mkuu, hapa kwenye huu mtifuano wao kuna fursa kwa Wasafi FM kama wakicheza vema. Lakini wakiamua kwenda kwa kiki tuu kama namna wanavoenda tutawasahau mapema tuu, ni kama ambavyo ilikua kwa Kiba na Mond..bifu lilimfaidisha sana mmoja lakini kwa mda mfupi mwisho wa siku akajisahau, dharau na kujisikia kwingi badala ya kutumia hilo bifu kama fursa ya kujijenga ye akawa anaamini kweli yeye ni bora kuliko huyo anaeshindanishwa nae..mwisho wa siku ndo yle yaliyotokea, mara akacheze mpira, mara atoe maboko apost youtube aanze kuyafuta (aibu) ilimrad kutapatapa tuu.Mwisho wa siku wale fans walokuja na upepo (kama hawa wa wasafi fm) wameondoka kwa stly ileile waliyokuja nayo.

Haya pia yanaweza kutokea kwa Wasafi Fm kama wasipokua makini na wakalewa sifa. Wajijenge tuu sio kupotezwa na kelele zetu mashabiki sisi tupo tuu kwa kaz hiyo
Yah unachosema ni kweli...
Inabidi watengeneze content na vipindi vya maana visiwe sana vimefungamana na familia ya Diamond maana watu wakichoka masuala ya familia ina maana hata media zao zitapoteza watazamaji
 
Back
Top Bottom