trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 735
- Thread starter
- #61
akili zako ni kama avatar yako,inapendeza lakini
No need of attacking someone that way Sis Suzan Minja....
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akili zako ni kama avatar yako,inapendeza lakini
Namsikitikia Nasari sana, nashangaa wabunge wa CDM haawapati fundisho tu. Hii issue inakoelekea kwa vyovyote vile lazima aadhibiwe vibaya.
Duh.. Ingawa naikubali CDM kama chama makini,ila huyu jamaa hapa "aliteleza"... Mfano:-
-kujiita "Rais",na Lema kama PM wake wa nchi ya Kaskazini...
-kutishia kufunga mpaka wa nchi hiyo ya "Kaskazini"
-kufananisha nchi yake ya "Kaskazini" na "Sudan Kusini" kwa kujitenga
-kutangaza kwa hadhira yake kuwa nchi hiyo ya "Kaskazini",wananchi wake wataishi kama Ulaya kwani rasilimali nyingi,kama Ml. Kilimanjaro,Madini,Ziwa,n.k.[/QUOTE
huyu mtoto kanichefua sana...Mimi ni CHADEMA dama lakini dogo anatakiwa ashtakiwe kwa uhaini.
Hapana mkuu.. Busara inahitajika.. Hata binti yako akikukosea adabu kwa kushika mimba akiwa mwanafunzi,kumfukuza nyumbani si suluhisho....
Anyway tuache DPP aamue...
Aadhibiwe kwani kisha patikana na hatia??????
Na DPP naye hatatakiwa kuprove beyond any reasonable doubt that Nassari intended to do what he said, and that he has powers to do so or is capable of doing so? Whose responsibility is to prove that? Is it Nassari's responsibility or DPP's?
Kuna haja ya kuisikiliza, mimi sioni umuhimu wake.Kwanza wanasoma utetezi wake kwa DPP... Ambaye hajaisikiliza japo kwa ufupi hotuba hiyo.. Itawekwa hewani hivi punde!
Yaani hapo kwenye nyekundu ningependa iwehivyo halafu waanze na Kikwete, Rostam, Lowasa, Balali, Pesa mbili, Mkapa, Chenge.......Mkuu, mtu anafanya uhaini halafu aendelee kuwa mbunge? Nafikiri adhabu yake ni kifungo cha maisha au kunyongwa kabisa. Tumsubiri DPP aisuke kesi vizuri.
Yaani hapo kwenye nyekundu ningependa iwehivyo halafu waanze na Kikwete, Rostam, Lowasa, Balali, Pesa mbili, Mkapa, Chenge.......
hakuna kesi hapa neither side will be able to satisfy the court beyond reasonable doubt
in politics slogan can be construed to mean different things and so to dogo nassari.
ila for the sake of peace and tranquility ache kuongea ovyo
Kuna haja ya kuisikiliza, mimi sioni umuhimu wake.
Usimsahau na hata Mahalu si wa kumwacha kbs!