trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Kaka unapotaka kujitenga ni mbaya zaidi ya tusi, huyo dogo awe makini kwenye statement zake.
Somo hilo kwa Nassary aache kuropoka ropoka. Amempa Nape singo ya kutoka nayo wiki hii na ukiona hadi WAGONJWA kama Kibonde wamepata kitu ya kuwapa FARAJA na UPENDO kama wagonjwa wengine ujue dogo kazi anayo. Nashauri CDM wawe wanam Mentor huyu dogo hadi akikomaa vya kutosha ndio asimame peke yake.
mbona hawajawahi kuweka hotuba yoyote nzuri ya viongozi wa chadema??
this is a nasty propaganda kwakweli
Nawaamini CDM, ila kwa kweli dogo alikosea, huenda alikuwa amechukizwa na hali ya mambo ila ni vema kutumia busara sana kwenye kutoa statements hasa kwa kuwa CDM wanataka kuongoza nchi. Imenisikitisha kidogo.Mkuu AMARIDONG, kwamba Lusinde pia alifanya makosa hakufuti ukweli kwamba Nassari naye amekosea, haihalalishi.
Na DPP naye hatatakiwa kuprove beyond any reasonable doubt that Nassari intended to do what he said, and that he has powers to do so or is capable of doing so? Whose responsibility is to prove that? Is it Nassari's responsibility or DPP's?
busara itumike he is the youngest Mp
Namsikitikia Nasari sana, nashangaa wabunge wa CDM haawapati fundisho tu. Hii issue inakoelekea kwa vyovyote vile lazima aadhibiwe vibaya sana.
Utoto umemwangusha, maneno ya vijiwenni yamemcost. Arumeru tuanze mchakato wa kutafuta mbunge. Soon jimbo litakuwa wazi.
Mkuu, mtu anafanya uhaini halafu aendelee kuwa mbunge? Nafikiri adhabu yake ni kifungo cha maisha au kunyongwa kabisa. Tumsubiri DPP aisuke kesi vizuri.Hivi kosa hilo linaweza kufanya ubunge wake utenguliwe? Kama itakuwa hivyo nadhani Lusinde atakakuwa wa kwanza.
Kuna thread niliyoipandisha kuhusu hii ya Clouds Fm Radio kuhusu huyu mtangazaji zembe wa hii radio na siyo mwingine ni E. Kibonde.
Yani huyu sina hata budi kusema hata naye ni kati ya mafisadi wadogo anayelelewa na mapapa lakini huyu anafikiri tupo karne ya 42.
Mi nitashambuliana na huyu kwenye mitandao na labda na asije hapa JF na nikaijua ID yake.
Na nimewashangaa wakuu wa hapa ndani,Inivisble,PAW na hata Mods wameificha hiyo thread jukwaa gani na niliiweka jukwaa la siasa.
Hii ya E. Kibonde na jahazi la Clounds Fm Radio Mi simkubali hata chembe.
Namsikitikia Nasari sana, nashangaa wabunge wa CDM haawapati fundisho tu. Hii issue inakoelekea kwa vyovyote vile lazima aadhibiwe vibaya sana.
Utoto umemwangusha, maneno ya vijiwenni yamemcost. Arumeru tuanze mchakato wa kutafuta mbunge. Soon jimbo litakuwa wazi.
Hivi kosa hilo linaweza kufanya ubunge wake utenguliwe? Kama itakuwa hivyo nadhani Lusinde atakakuwa wa kwanza.
Mkuu, mtu anafanya uhaini halafu aendelee kuwa mbunge? Nafikiri adhabu yake ni kifungo cha maisha au kunyongwa kabisa. Tumsubiri DPP aisuke kesi vizuri.
Namsikitikia Nasari sana, nashangaa wabunge wa CDM haawapati fundisho tu. Hii issue inakoelekea kwa vyovyote vile lazima aadhibiwe vibaya sana.
Utoto umemwangusha, maneno ya vijiwenni yamemcost. Arumeru tuanze mchakato wa kutafuta mbunge. Soon jimbo litakuwa wazi.
Nachoka kuisubiri hiyo clip sasa, niendelee kuwa mvumilivu tu?
Duh.. Ingawa naikubali CDM kama chama makini,ila huyu jamaa hapa "aliteleza"... Mfano:-
-kujiita "Rais",na Lema kama PM wake wa nchi ya Kaskazini...
-kutishia kufunga mpaka wa nchi hiyo ya "Kaskazini"
-kufananisha nchi yake ya "Kaskazini" na "Sudan Kusini" kwa kujitenga
-kutangaza kwa hadhira yake kuwa nchi hiyo ya "Kaskazini",wananchi wake wataishi kama Ulaya kwani rasilimali nyingi,kama Ml. Kilimanjaro,Madini,Ziwa,n.k.[/QUOTE
huyu mtoto kanichefua sana...Mimi ni CHADEMA dama lakini dogo anatakiwa ashtakiwe kwa uhaini.