Msambaa mkweli
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 320
- 342
Clouds fm, wanapatanisha ndoa kati ya Tobby na Tausi, hivi kweli ndio njia sahihi.
The same question.Who is Tobby?Tausi?
Nimesikiliza kipindi hicho cha njia panda ambapo wanandoa Toby na Tausi wana mgogoro au ugomvi, wameshirikisha wazazi imeshindikana ndio Tausi kaja redioni anasimulia hadi mambo ya ndani kabisa loh! Binafsi nimeona si sahihi kuelezea mambo hayo redioni, ni kujidhalilisha tu! Lakini sijajua wanatakiwa wayajadili wapi kama wazazi wameshindwa!Clouds fm, wanapatanisha ndoa kati ya Tobby na Tausi, hivi kweli ndio njia sahihi.
Clouds fm, wanapatanisha ndoa kati ya Tobby na Tausi, hivi kweli ndio njia sahihi.