Kama haujui kinachoendelea ni nn kaa kimyaaToka mwanzo wa kipindi mpaka sasa ni habari na miziki ya wasanii kutoka WCB tu, sisi wapenda burudani hasa tunaopenda wasanii mbalimbali mnatuboa sana kama si kutukera kunakotukuka. Hivi WCB wamekodi kipindi cha leo au? Badilikeni
Hakuna rafiki/adui wa kudumu kwenye biasharaNa sasa hivi huwezi kuamini eti hawapatani