Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Mimi huwa kuna vipindi ambavyo nafuatlia Clouds FM na nakiri ikifika muda huo huwa lazima niitafute clouds FM. Miongoni mwa vipindi hivyo ni POWER BREAK FAST, NJIA PANDA, na SPORTS.
KWa wiki mbili sasa nimekuwa nanshangazwa kwa kutosikia vipindi vya power breakfast cha Gerad Hando na Paul James wanapoeruzi magazeti na Sebastian Ndege na Njia panda.
Wadau tusaidiane, hivi watangazaji ndo tatizo au vipindi ndo vimekufa? Nakumbuka kuna wakati hata kipindi cha Sport cha usiku walikuwa wakituwekea miziki. Vipi Clouds FM? Au ndo iko safarini kufa?
KWa wiki mbili sasa nimekuwa nanshangazwa kwa kutosikia vipindi vya power breakfast cha Gerad Hando na Paul James wanapoeruzi magazeti na Sebastian Ndege na Njia panda.
Wadau tusaidiane, hivi watangazaji ndo tatizo au vipindi ndo vimekufa? Nakumbuka kuna wakati hata kipindi cha Sport cha usiku walikuwa wakituwekea miziki. Vipi Clouds FM? Au ndo iko safarini kufa?