666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,688
- 3,816
kama ulikuepo kwenye viwanja vya leaders au ulikua ukiona kupitia eatv, kuanzia kwa adam juma mpaka kwa msemaji wa familia walitaja redio na stations mbali mbali wakizishukuru, lakina cha ajabu hawakuitaja clouds fm kwa kusaidia kuripoti habari za msiba wa ngwea kutoka moja kwa moja johanesburg na kuhusisha vipindi vyake karibia vyote na habari za ngwea! My take#p.funk majani ni kweli alisema ukweli na inaonekana hata familia ya ngwea ilichukia kuhusu clouds fm na madai yaliyo tolewa na majani, na ndio maana hata msemaji wa familia akuishukuru clouds fm.