sdk allie
Member
- Nov 1, 2010
- 21
- 15
Nikawaida media mbali mbali kutumia nyimbo za wasanii wa ndani zilizoheat kwnye matangazo ya biashara ila hii iliyo mezani leo ni ya wimbo wa "KULIKO JANA" wa SAUTI SOL kutoka kenya,Nilikua nikiupenda huu wimbo,not until hawa jamaa wa CLOUDS FM walivyoutengenezea Tangazo sijui la shukurani..wameuvulunda completely kibaya zaidi wanavyozidi kulicheza hilo tangazo kuliko wimbo husika imepelekea adi wimbo wenyewe kuchukiza..sasa hivi sivipendi vyote! Tangazo na wimbo wa KULIKO JANA..
Hii ni mbaya kibiashara kwa wasanii japo inawanufaisha zaidi hao CloudsFm..
HITIMISHO; Tumieni nyimbo za wasanii wenu wa THT zile zinafanana sana na matangazo yenu..ikitokea ulazima kutumia wasanii wanje basi washilikisheni kwny utunzi na uwasilishi..
nihayo tu..
Hii ni mbaya kibiashara kwa wasanii japo inawanufaisha zaidi hao CloudsFm..
HITIMISHO; Tumieni nyimbo za wasanii wenu wa THT zile zinafanana sana na matangazo yenu..ikitokea ulazima kutumia wasanii wanje basi washilikisheni kwny utunzi na uwasilishi..
nihayo tu..