kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Niko sehemu namsikia Alex Lwambano akijaribu kuituhumu CAF kama walivyozoea kuituhumu TFF kuwa eti Yanga ametolewa kwa figisu figisu!
Hivi aliyefanya figisu hapa Tanzania ni nani kama sio yanga? Walifungwa wakiwa hapa nyumbani licha ya kuwafanyia figisu wanigeria wakawazuia key players watano wa Rivers United ambao hata mechi ya pili hawakuwepo.
Sasa nyie clouds kwa nini mnataka kujidai eti hamjui kuwa yanga alizidiwa?Acheni propaganda
Hivi aliyefanya figisu hapa Tanzania ni nani kama sio yanga? Walifungwa wakiwa hapa nyumbani licha ya kuwafanyia figisu wanigeria wakawazuia key players watano wa Rivers United ambao hata mechi ya pili hawakuwepo.
Sasa nyie clouds kwa nini mnataka kujidai eti hamjui kuwa yanga alizidiwa?Acheni propaganda