Clouds: Acheni kufagilia upuuzi - wewe Diva - Loveness Love unajiaibisha....

Huyo anayejiita Loveness aka Diva ni mtoto wa Kamanda wa vijana CCCCCCCCCCCM wa mkoa wa Kagera na mfanyi-biashara maarufu Dioniz Malinzi...

Na ajiite kikamilifu- Loveness Malinzi tuone kama babake atamvumilia upuuzi wake.
 
yaani umetoa point muhimu sana hawa wadada wanaudhi kupita kiasi hawana akili wala common sense wanawaza uchafu tu wakiamini watu wote wako kama wao kumbe watu wanamaadili na malezi yanayokubalika kijamii, je tufanyeje waweze kufanhamishwa haya pia wanatabia ya kusema sana watu kwa mifano ya wazi , they are pathetic cases
 
Ingekuwa enzi za mwalimu hawa wangepelekwa geza ulole! ssshh....nzi zao, uhuru gani wa habari huo? wanaiharibu jamii hivihivi huku kina Mkuchika wanachekacheka!
 
Asante Pretty,
Nilishikwa uvivu kumjibu maana inaelekea haelewi hapa tunaongelea nini.Hapa tunaongea na live examples ya kinachojiri huko Clouds ili kama wanaingia humu basi wajirekebishe ... waone kuwa wanayoyaongea hayavutii kivile kama wanavyodhania.

This is what happens when peeps lack creativity or are just too lazy to follow a professional path. Hii si mara ya kwanza kwa mtu kudhubutu kuongea, au ku'act' mambo ya ajabu. Instead of thinking of a way to bring the point home using creativity, the presenter decides to be more daring. . . and talk about things only discussed in bars under the shade of darkness and alcohol. .. and because of the timeslot, it's going to take time to reach the relevant authorities. As a result, more and more people become listeners until . . . . . one day she somehow goes off the air!
 
Na ajiite kikamilifu- Loveness Malinzi tuone kama babake atamvumilia upuuzi wake.

Hafanyi siri kuwa yeye ni binti Malinzi... Aliwahi kuhojiwa na akaelezea vizuri mno baba yake anavyom support katika kazi yake hiyo ambayo ni kama alikuwa anajitolea na baba anampa pocket money etc..... ila sina uhakika kama baba yake anamsikiliza maana.....
 
Tatizo hapa wanarusha hayo matangazo kwenye public airwaves. Nadhani kwenye public airwaves content kama hizo zipigwe marufuku Tanzania na ziwe by subscription only kwa wale wanaopenda kusikiliza mambo kama hayo.
 
Mimi nimewahi kuandika humu kuhusu hizi fm
na vipindi vya kishangingishangingi mchana
na naona sikueleweka....

Sishangai kabisa,kwani mchana wanaongea matusi live,itakuwa usiku???????
 
The worst thing kuwa
radio zote zinashindana kuwaiga hao clouds,
mda si mrefu utasikia upuuzi huo umeigwa kwingine...

Tena radio time fm ina uchafu zaidi ya huo usiku....
Wamefikia mpaka wanafundisha namna ya kunyonyana private parts na saa sita haijafika.
 
Hafanyi siri kuwa yeye ni binti Malinzi... Aliwahi kuhojiwa na akaelezea vizuri mno baba yake anavyom support katika kazi yake hiyo ambayo ni kama alikuwa anajitolea na baba anampa pocket money etc..... ila sina uhakika kama baba yake anamsikiliza maana.....

Huyo baba ambaye anatoa tu pesa za kum-support bintiye kwa kazi ambayo yeye mzazi hajui binti yake anafanya nini naye lazima ana matatizo mukichwa! Like a father like a daughter. Poor Malinzi!
.
 
Asante sana WoS.. kinachonishangaza ni wazazi na watu wenye familia wako wapi; au katika taifa letu kila mtu keshakata tamaa?
 
Hii ni Radio ya Chama tawala, serikali inaweza kuona na ikaacha kukemea, ndio chombo chao cha kuwafikia vijana. wanaongea upuuzi, baadaye unaskia mambo ya CCM, Kikwe... etc
 
kuna tangazo nimelliona kwenye tv kuwa kama una malalamiko juu ya habari flna iwe gazetini , radion, au kituo chochote cha tv peleka malalamiko huko, au hata wizara husika

radio clouds
radio times
radio tbc fm(kipind cha mcharuko)


radio hizi zina kera sana
 
cheap labour.Kusaga anataka watu wakuwalipa mshahara kiduchuuu.wamepewa sana maonyo na tcra lakni inaonekana ni vichwa ngumu.huyo diva na power breakfast ndo vipindi unprofessional kabisa.hii radio haina hata mhariri wa vipindi yaani watu wana free style tu na ndo mana kuna ujinga lukuki

Hapo unaposema cheap labour unakosea, huyu binti anafanya hicho kipindi for fun sio kwa sababu ya pesa, kama suala la pesa mtoto kwao mambo safi, hasa kwa upande wa pesa......................
 
Kusema kweli Clouds wamekosa muelekoe na sasa wamebakia kuwa kero. Wazazi inabidi you intervene muongee na kuwaelewesha watoto wenu la sivyo mwanao atakutolea tusi akidhani ni salamu. Ukimuuliza anakujibu nimesikia redio Clouds. Eeeh Mungu muepushe nephew wangu Nim
 
Huyu binti anatia kichefuchefu kwa kweli.,nashangaa watu wanaomtetea humu, sikutegemea kama mtu mwenye busara anaweza kutetea upuuzi kama unaofanywa na binti huyu.
 
Mh kwa kweli huyu mtangazaji hajaanza leo kuzungumza ujinga wake mie imenipelekea kufunga miredio mara baada ya taarifa ya habari ya saa mbili. Ah Lakini ina maana clouds hawana maadili? yaani wao wanaona sawa? Uongozi wa Clouds nao una makosa ina maana siku zooooo te hizo huyu binti anatangaza ujinga hawakuwa wakisikia?? Nidhamu ya mfanyakazi haiishii katika kuwahi na kutokukacha ofisi bali hata namna anavyovaa, anavyojibeba na hata lugha na content ya akitangazacho----------------- Ama kweli miafrika ,.....
 
Back
Top Bottom