johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,901
- 141,837
Nauliza tu menejimenti ya Clouds Media Group (CMG) kwamba hiki kipindi cha Clouds 360 mmeamua kubadilisha watangazaji baada ya kutoka kifungoni?
Mbona hawa watangazaji wapya mliowaleta hawaendani kabisa na swaga za hiki kipindi? Mnatuchosha bhana. Ngoja nirudi Baragumu ya Albert Kilala kule Channel Ten.
Maendeleo hayana vyama!
Mbona hawa watangazaji wapya mliowaleta hawaendani kabisa na swaga za hiki kipindi? Mnatuchosha bhana. Ngoja nirudi Baragumu ya Albert Kilala kule Channel Ten.
Maendeleo hayana vyama!