nexus white
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 210
- 81
Hawa watangazaji wanakera sana tena sana, hawana utaalamu wowote wa kujadili hoja zaidi ya majungu na fitina tu, hivi TCRA wana kazi gani? kuna watangazaji wanne katika kipindi hicho. Tukianza na yule mwanaume ambaye ndo anajidai msemaji sana hana weledi wala busara kwani anaongea kwa ubaguzi na kejeli hasa kama wanajadili UPINZANI katika siasa, kale kabinti nako ni chombeza time tu, wa tatu yule mwanamama anayesoma magazeti yeye ndo kabisa ovyoo katika usomaji wa magazeti na wa mwisho ni kijana wa habari za michezo yeye nusu kwa nusu.....mbadilike kwani sisis tunawachora na kuwaona wa ajabu tu