Cloud FM (Power breakfast) mmepewa kidogo na wakubwa wa ATCL

Livanga

JF-Expert Member
Apr 15, 2010
469
148
Ni kawaida pale mtu anapokosea kukosolewa lakini pia pale unapogundua kuwa hakukosea baada ya kujieleza unatakiwa kuback down na kujutia ulilolifanya before. Swali kwanini power breakfast bado wanaponda hata baada ya Mwakyembe kuweka wazi the reasons behind, nakumbuka pia walikuwa wanaongoza kwa kusifia ndege ya ATCL zilipoingia na hata watu walipolalamika kuhusu delays wao walikaza boot.
 
Bado hujui hadi sasa kwamba Radio Clouds ni propaganda tool ya mafisadi waliomo CCM na serikalini? Watangazaji wanafadhiliwa sana na hao mafisadi kuwasafisha.
 
Ni kawaida pale mtu anapokosea kukosolewa lakini pia pale unapogundua kuwa hakukosea baada ya kujieleza unatakiwa kuback down na kujutia ulilolifanya before. Swali kwanini power breakfast bado wanaponda hata baada ya Mwakyembe kuweka wazi the reasons behind, nakumbuka pia walikuwa wanaongoza kwa kusifia ndege ya ATCL zilipoingia na hata watu walipolalamika kuhusu delays wao walikaza boot.

Umeeona hee!!hata mimi nimewashangaa sana hawa vijana nahisi walikuwa wanapewa ticket za bure tuchunguze
 
mishahara yao midogo akina Hando kwaio ni lazima wachukue hela kutoka kwa mafisadi ili waponde jitihada za wazalendo....na pia kitu kingine kuelewa anachofanya mwakyembe ni lazima uwe na elimu basic sasa kama na iyo huna ni tatizo sana!...clouds wana ajili ka kujuana ambacho ni kigezo duni sana kwenye taaluma yao mafanikio waliyonayo sasa walitakiwa yawe zaidi ya ata mara 10...kipaji pekee haitoshi na ata kama sasa ivi hawana elimu still wawe wanapewa kozi ndogo ndogo za kuhusu taaluma yao ili wawe better and better kozi zinaweza kuwa in form of workshops or daily meetings from in-house kukumbushana ethics za taaluma hii, Hando na Clouds nzima kitu ambacho nahisi wanachelewa kujua ni kwamba anachofanya CDM or Mwakyembe ni kwa manufaa yao, ndugu zao, watoto wao, wajukuu wao.
 
Kumbe hata hawa vilaza watangazaji .......takkukuru..inapaswa ifumbue macho juu yao...vile vi ofa vya kuruka na ATLC kumbe havikuwa bure...Chiizziiii ...kazi kweli kweli...kweli kila Mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake.... Bongo hawa hawa walimponda Maige eti analia sana issue ishapita ile ..leo tena wako upande wa Chiziiiii....haya TBC nao kulikoni habari kama hii wao kwao haikuwa ya maaana....mmhh kweli sirikali ya C c M...shughuli ipo tena pevuuuu
 
Nimewasikia leo asubui waki-comment kuhusu ATCL. Tatizo kubwa ninaliliona kwa kina Hando na mwenzake ni kwamba mara nyingi they are not well informed on issues ambazo wana-comment. Kwa mfano; Kuhusu venting ya Capt. Lazaro. Capt. Lazaro bado ni mfanyakazi wa ATCL hivyo haitaji vetting as such. Tofauti na Paul Chizi ambaye alishastaafu 2002 hivyo kuajiriwa upya ATCL ilitakiwa vetting procedure itumike. Hando alionyesha taswira kwamba Capt. Lazaro kawekwa pale kama upendeleo hivi-which is not the case. Inabidi hawa jamaa waache uvivu wa kusoma mambo mbali kwa ufahamu zaidi ili kipindi chao kiwe na mvuto zaidi. Kuwa wao ni CCM damu damu hilo linajulikana na ni haki yao.
 
kweli kuna kitu wamepata toka ATCL na nisiku nyingi sanaa, ndio maana walikuwa wanasifia sanaaaaa hili joe kusanga aendelea kuchota mapesa ya ATCL sasa wanaona ujio mpya wa lusajo hautawapatia mahela ya matangazo ya kipumbafu juu ya shirika hili

niliwasikia asubuh nikazima radio.
 
Mirija ya ngawila inapokatwa lazima povu likutoke mdomoni kwa kufoka!
Ndo Clouds hao wazee wa Zengwe na kesho wanarusha live mkutano wa Jangwani
 
Kumbuka ile ya Kibonde kutuambia eti Mataka amesoma na mama yake, ndo kipimo cha uadilifu, bila shuleni kuna mambo ya uboifrend na ugelofrendi.
 
Ndio maana Mwakyembe aliwaambie tufike mahali tuweke siasa pembeni kama mnataka maendeleo ya kweli. Nilishasema Clouds kuna jinsi wanavyotoa ushabiki wao kiasi kwa watu hasa kama walishakutana na kupata bia mbili tatu za offer basi akirudi kwenye redio ni kuanza kusifia tu bila kutumia logic. Kwa kweli leo hata mimi wamenikera saaaana!!!
 
Siku ndege ilipoanza kuruka Clouds; walipamba sana hata Bonge akariport akiwa anapanda ngazi za ndege kupitia K'njaro kwenda Mwz na kurudi. Matangazo ya muda wa hewani wa karibu 10mnts yanapewa radio binafsi wakati TBC1 na ATCL ni watoto wa baba mmoja hawpewi kitu..; kuna siri nyuma yake! tafakari.
 
Hando na Bonge wamenichefua sana leo na usemi wao wa "binamu". Clauds isipoaangalia sasa itapoteza credibilit kwa sababu ya njaa za watu wachache, kwao dola 39,000 za uniform hazikuwauma.
Ila natumai ni vijana wenzetu na wenye uchungu na nchi yao, waombe radhi tutawasamehe.
 
Nimewasikia leo asubui waki-comment kuhusu ATCL. Tatizo kubwa ninaliliona kwa kina Hando na mwenzake ni kwamba mara nyingi they are not well informed on issues ambazo wana-comment. Kwa mfano; Kuhusu venting ya Capt. Lazaro. Capt. Lazaro bado ni mfanyakazi wa ATCL hivyo haitaji vetting as such. Tofauti na Paul Chizi ambaye alishastaafu 2002 hivyo kuajiriwa upya ATCL ilitakiwa vetting procedure itumike. Hando alionyesha taswira kwamba Capt. Lazaro kawekwa pale kama upendeleo hivi-which is not the case. Inabidi hawa jamaa waache uvivu wa kusoma mambo mbali kwa ufahamu zaidi ili kipindi chao kiwe na mvuto zaidi. Kuwa wao ni CCM damu damu hilo linajulikana na ni haki yao.

Ndio maana Kilaza hando, PJ na B hassan wanamwita Binamu, wameniudhi leo asubuhi wanavyobwata vilaza hawa.. hawa ndio wanasafiri kwa tsh 50,000.
 
Kumbuka ile ya Kibonde kutuambia eti Mataka amesoma na mama yake, ndo kipimo cha uadilifu, bila shuleni kuna mambo ya uboifrend na ugelofrendi.

Tena usimtaje kabisa huyu kilaza anakera kweli, na sasa limemshuka alitegemea kupata U-DC lakini ndiyo hivyo tena labda angoje ubunge wa vitu maalumu kama kuna mbunge wa jinsi hiyo huko magamba ambaye atafariki hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom