cheusimangala_
Senior Member
- Dec 1, 2018
- 114
- 174
CLIP YA VIDEO YA NGELEJA NA NAPE YAVUJA.
Woote wanaongea lughq moja na sisi, wapi nape Aliyezima Bunge kwa Lengo la.kupunguza matumiz akatuachia TBC leo hii bunge lingewatetea hao wapuuzi.CLIP YA VIDEO YA NGELEJA NA NAPE YAVUJA, DEMU WA KIZARAMO WA NAPE AIVUJISHA.
Hivi kuna faida gani ya kusikiliza simu ya mtu? Hv hawa viongozi hawana kazi ya kufanya? Kuna mtu hasiye semwa kweli katika hii dunia? Kusiliza maongezi ya mtu ni kujipa pressure na kuongeza chuki zisizo na msingi kusema na kusemana ni mambo ya kawaida sana kwa binadamu...Yaani tassis kubwa ya uraisi kuanza kusikiliza umbeay wa watu kwa kweli ni aibu..
Tatizo unakuta anazo Jerry muru nikuachia tu kama nyimbo za ASLAYwanao release hizi audio ni mabwege sana.
hawajui namna nzuri ya kucheza na audience yao.
kitendo cha ku release audio mbili ndani ya kipindi kifupi kinadhoofisha ile audio ya kwanza na kufanya series yao yote ionekane ni utoto.
wangekuwa na delay period. mafala hawa wanaharibu movie.
Mkuu lakini yule si nape kabisa mkuuMbona umehitimisha? Kwani ishajulikana hayo mazungumzo yamepatikanaje?
Manake isije kuwa wamejirekodi wenyewe na kuzivujisha wenyewe...
Siasa mchezo mchafu sana.
Mkuu lakini yule si nape kabisa mkuuMbona umehitimisha? Kwani ishajulikana hayo mazungumzo yamepatikanaje?
Manake isije kuwa wamejirekodi wenyewe na kuzivujisha wenyewe...
Siasa mchezo mchafu sana.