Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,638
- 218,073
Waziri wa Michezo wa Nchi ya Cameroon Profesa Kombi ametangaza kwamba Clarence Seedorf hatoendelea kuwa kocha wa Timu ya Taifa hilo kuanzia sasa .
Bado haijatangazwa atakayetwaa nafasi yake
Bado haijatangazwa atakayetwaa nafasi yake